FotoBaraza.Net

Maoni ya Babukadja

Comment Wall (2,052 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 9:02am on Januari 8, 2010, mery julius anasema…
kaka mambo vipi..? habari ya wewe.
At 11:49pm on Januari 7, 2010, MWINYI MPEKU anasema…
mwenyekiti nimefurah sana kuwa ktk orodha ya marafiki zangu hapa inshalah mungu atupe amani daima siku njema
At 11:44am on Januari 7, 2010, Astol Mwangomo anasema…
Hahaha kweli ,yaani umenigandisha mpaka mkono umeganda na Snow,Poa nimefurahi sana kuku sikia tena,
uwe na siku njema
At 11:43pm on Januari 6, 2010, Mama Malaika anasema…
Salama hapa?
At 9:58am on Januari 5, 2010, Dr riziki anasema…
Ndio mwenyekiti, nategemea u-mzima, tutafutane maeneo ya sponsor wetu
At 8:14pm on Januari 4, 2010, Mama Malaika anasema…
Yesterday is HISTORY, Tomorrow is a MYSTERY, Today is a GIFT that's why it's called the 'PRESENT'.

Happy New Year!!
At 2:43pm on Januari 4, 2010, CHA the Great anasema…
Salama?
At 9:15pm on Januari 3, 2010, Astol Mwangomo anasema…
Nipipita tu Kupiga SALUTI YA MWAKA MPYA.
At 12:56pm on Januari 2, 2010, boniface msami anasema…
mkuu mbona kila nikitaka kuingia chat online inanigomea je kunakitu na bolonga nini/ hebu nipe ufafanuzi kidogo mkubwa,
At 4:30pm on Desemba 31, 2009, Alfan anasema…
NEW YEAR
At 3:53am on Desemba 31, 2009, cherry anasema…
PAMOJA SIJUI KAMA UKO SAYARI HII NAKUKUMBUKA BADO.
At 2:37am on Desemba 31, 2009, cool anasema…

At 1:09pm on Desemba 30, 2009, CHA the Great anasema…
http://money.cnn.com/2009/11/20/news/companies/bob_marley.fortune/index.htm
At 2:25am on Desemba 19, 2009, Dunda anasema…
Babu bado uko mitaa ya Copenhagen vipi mkutano nasikia umewahamasiha wa Afrika kususia kikao safi sana
At 1:56pm on Desemba 17, 2009, Mama Malaika anasema…
Babu vipi umesalimika au ndio umekauka na baridi??
At 10:37pm on Desemba 14, 2009, Meshack maganga anasema…
MKUU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UWEKE LINK YANGU HAPA KIJIJINI KWETU
http://magangam.blogspot.com
ASANTE TUPO PAMOJA
At 10:40pm on Desemba 9, 2009, Mama Malaika anasema…
Nimepita kukusalimu, leo nilikuwa busy sana ndio maana hatujaongea. Usiku mwema
At 7:15pm on Desemba 7, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante sana kwa salamu from the main page. Ujue the Black Diamond hiyo ni jengo jipya limefunguliwa 1999, mie wakati nipo hapo (1993-1995) kulikuwa na old party ambayo ni the Royal Library, ambayo yaunganishwa na Black Diamond na vima-madaraja. Humo Library utakuta vitabu vya mtunzi mashuhuri duniani wa vitabu miaka 200 iliyopita. Mtunzi aliitwa Hans Christian Andersen na alizaliwa mji wa Odense hapo Denmark.
Yani wanitia wazimu wa kuja tena huko ingawa nimekuja miaka ya karibuni na kuishia Horsens & Aarhus, na sio Kobenhavn. Tumepanga kuwaleta kina Malaika waone mama aliposoma... lol...
Naona wataka kurudi bongo mapema, baridi ya huku tumeizoea wenyewe. Malaika kaniuliza mbona umejifunika sana kwenye picha, nimemwambia hujazoea baridi. Ha haa haa
At 11:24am on Desemba 7, 2009, Astol Mwangomo anasema…
Sasa Kamanda Roho yangu imetulia baada ya kuona na mjaladio wako wa nguvu wa kuokoa mtu.ikizidi tena unatandika Kaki KINYLELAMUMO kwa kiswahili silijui (kale kasuruari kajoto kembamba)kazi kwako .
Uwe na siku Njema na Ubarikiwe sana
At 1:46pm on Desemba 6, 2009, Astol Mwangomo anasema…
Pole sana kamanda wangu mmhhh angalia sasa usije ukabeba Blanketi CHAPA MTU,itabidi tu UKAZE ZE BUTI kweli kweli,kama mimi naweza kwanini wewe ushindwe, KOTi ZITO ,Kofia ,Skafu nzito socks nzito za cotton,Na BUTI la KIWANGO cha kupambana na baridi, na Misosi yenyewe Tee muhimu mtu wngu,Angalia usije ukaugua ushindwe hata kuzurula mitaani tukose taswira zako.
Mkutano mwema nakutakia.
2kopa1

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter