FotoBaraza

Maoni ya Araway

Comment Wall (633 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 5:44pm on Novemba 18, 2009, CHA the Great anasema…
Amani iwe nawe!
At 3:42pm on Novemba 17, 2009, Mama Malaika anasema…
salaleko!!
At 3:26pm on Novemba 13, 2009, Omari Namanji anasema…
kaka mji kasoro baali awajambo?
At 12:35pm on Novemba 13, 2009, ladymwana anasema…
hahhahah.

nakupa hi kaka, wasalimie huko mji kasoro bahari.
At 6:32am on Novemba 13, 2009, Sophie anasema…
my dia, yani umenishtua na mathwali yako ya mfululidho!!nimekotha nini kaka?
At 1:10pm on Novemba 12, 2009, Cat Wa Ukweli. anasema…
morogoro wazima mkuuuu?
At 12:11pm on Novemba 12, 2009, Furaha anasema…
Leo nimemuona wifi lol, kumbe wajua kuchagua hivyo.

Msalimie sana, halafu fanya mipango fasta usije ukaporwa na fataki
At 7:11am on Novemba 12, 2009, Dismas anasema…
Mwana tupo pa1. Cku ile nilikuwa naumwa mkuu, hadi sasa cpo fresh sana ila nilipania sana kuja. Mimi nahic Oswd aliniroga, ili totoz zote azimiliki yeye hahahahaaaaaaa.

Amani kwako mkuu
At 10:36pm on Novemba 11, 2009, james anasema…
Thanx brother araway kwa ukaribisho wako
At 6:44am on Novemba 11, 2009, Ritha T anasema…
angalia yahoo yako baadae.
nimekutumia yale maua uyapendayo,lol we nawe una presha.
At 6:38am on Novemba 11, 2009, Dismas anasema…
Kakaaaaaa! tumegombana nini? au ni kale kahela ninacho kudai ndo kanakufanya ucje kwangu hahahahaaaaaa.

Amani kwako mkuu
2po pa1
At 7:44pm on Novemba 10, 2009, Mama Malaika anasema…
Mulibwanji!!
At 3:28pm on Novemba 10, 2009, Sarah anasema…
Mic yoo tuu mwah!
At 2:28pm on Novemba 9, 2009, Mama Malaika anasema…
Salama hapa? Nilifurahi kweli kuongea nawe Jmosi.
At 3:50pm on Novemba 5, 2009, Mama Malaika anasema…
Pole sana... nilipoona kimya nikajua lazima utakuwa na tatizo. Vipi magimbi ndio msimu wake au bado?
At 6:31pm on Ocktoba 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari ya hapa jamani?
At 4:00pm on Ocktoba 28, 2009, Omari Namanji anasema…
kaka mbona kimya
At 11:42pm on Ocktoba 27, 2009, komredi anasema…
nashukuru kwa kupita kibarazani kwangu na salamu zako nimezipata ispokuwa kama ulivyoona tangazo la msiba hapa kijijini tulikuwa tunaomboleza msiba wa mwanakijiji mwenzetu marehemu Salim Zuze lakini tunashukuru tumemaliza salama.
na sasa napatikana kwa wingi tu hapa kijijini, usijali tupo pamoja.
nakutakia siku njema
At 11:24am on Ocktoba 27, 2009, Omari Namanji anasema…
Mambo vipi kaka mzima wewe
mimi mzima wa afya njema
nakutkia mchana mwema
baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
At 7:20pm on Ocktoba 24, 2009, cherry anasema…
Nakatiza mitaani kutoa salamu.

Muziki

Inapandisha...

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter