FotoBaraza.Net

Maoni ya Araway

Comment Wall (625 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 11:25am on Julai 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante sana Araway... halafu ujue umepatia kuhusu baba M. Ulijuaje?
At 10:14am on Julai 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Umesalimika lakini?
At 9:56pm on Julai 29, 2009, dachi.com anasema…
niambie kamanda wangu mzima wewe!pamoja mkuu
At 6:32pm on Julai 29, 2009, Mathew Senga anasema…
I see nashukuru sana kwa pole, nakupa pole sana pia mkuu kwa kukatwa miguu. Tanzania ni nchi ya ajabu kweli!Mtu unaibiwa chombo cha usafiri na polisi wanashindwa kukikamata!!!Pole mkuu, lets hope litapatikana, la Mungu atasaidia pamoja na juhudi litapatikana jingine
At 2:19pm on Julai 29, 2009, Evacindy anasema…
Jamani asante sana kaka yangu Araway kwa kunisalimu na maoni yako tupo pamoja sasa , ha ha haaa!! watoto wa sikuhizi hawajali mbwani kumfundisha tuu maadili mazuri!!.
By the way I love your articles/poems!!
At 1:20am on Julai 29, 2009, Mtoto mzuri anasema…
Wikiendi bomba si unajua wengine hatulalagi wengine yaani hata kama umefulia utakesha tu...lala unono
At 5:50pm on Julai 28, 2009, Sarah anasema…
Mhh vipi gari yako inaendeleaje???
Njoo nikupe moja bas maana yananisumbua mie hapa lol
siku njema na baadae bas ucikose
At 3:34pm on Julai 28, 2009, Mathew Senga anasema…
Mkuu nipo mkuu, mihangaiko tu hasa baada ya kufiwa na mama yangu mzazi, nimekamatika kiaina, ila tupo pamoja mkuu
At 11:48am on Julai 28, 2009, Chaoga Tonge anasema…
pita kwa amani tu ndugu yangu usijali hapa kwema kabisa
At 11:31am on Julai 28, 2009, Mabagala anasema…
Kaka hapa salama tu. tunakula upepo wa karafuu tu.
At 11:17pm on Julai 27, 2009, cherry anasema…
Shukrani ndugu yangu kwa kupita mie mzima natamani ningekuja kula upepo lkn mahela hamna inabidi nife na baridi ukichanganya na mvua na upepo basi likizo maridadi.Vipi nawe waendeleaje mkuu????
At 10:13pm on Julai 27, 2009, Sarah anasema…
Shikamoo
At 6:57pm on Julai 27, 2009, Dada anasema…
ha ha ha aaaaaaaaaaaaaaa, ni kweli nilichungulia kiaina kama nilivyokwambia nikachomoka kidogo.
At 12:07am on Julai 27, 2009, Oswald Jonh Akyoo anasema…
sema mzee wa moro,mambo yanaendaje mtu mzima!!
At 1:43pm on Julai 25, 2009, Mama Malaika anasema…
Photobucket
At 9:03am on Julai 23, 2009, Oswald Jonh Akyoo anasema…
weeee!! pole sana mkuu!! tatizo hatujajuana vizuri humu ndani,suaa hilo lingekuwa solved faster,ila usijali sana,waliofanya hivyo ndyo wanaikomaza akili yako iwezefanya mambo makubwa kuliko.
'Vipi,si ulikuwa umekatia insuarence!!!
pole sana mtu wangu.
At 8:46am on Julai 23, 2009, Ritha T anasema…
pole sana best angu.
hata mimi imeniuma kweli jamani,lakini jitahidi ufatilie kama nilivyokwambia.
At 1:23am on Julai 23, 2009, Oswald Jonh Akyoo anasema…
Sema mpinzani wangu wa kibarazani!!! mzima mzee wa Moro!!! niaje baba!!
nakutakia siku njema mkuu.tukutane kibarazani baadaye!!!
At 6:29pm on Julai 22, 2009, Dada anasema…
Nakushukuru sana kwa kunisabahi, kwa sasa nimemaliza shule last week namshukuru Mungu. Moro wanasemaje? Nipo Dar napumzika kabla sija report kazini.
DAda
At 6:29pm on Julai 22, 2009, Dada anasema…
Nakushukuru sana kwa kunisabahi, kwa sasa nimemaliza shule last week namshukuru Mungu. Moro wanasemaje? Nipo Dar napumzika kabla sija report kazini.
DAda

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter