FotoBaraza.Net

Maoni ya Bblandi

Comment Wall (136 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 9:19am on Machi 27, 2009, Dismas anasema…
Inaelekea siku hiyo ilikuwa safi sana.Natamani sana ningekuwepo.Ila ckukuona wakati wa kuselebuka, nilitaka nione utaalamu wako katika suala zima la kusakata rumba hahaahaahahaahaahahahahaaa.Ila Majoy ni noma, nilimcheki anavyosakata rumba.Mi nilidhani ni Yondo Sister hahaahahahaa

Amani kwako dada.
2po pa1
At 12:47am on Machi 26, 2009, Ndekia anasema…
jamani same to you happy to hear from you best...
At 12:12am on Machi 26, 2009, Ndekia anasema…
ila umezidisha ukimya sana anyway plz take care tchao.........
At 3:06pm on Machi 25, 2009, Saadat anasema…
That was great. Thank u 4 birthday wish. Yaani mzika kichizi..
At 10:02pm on Machi 24, 2009, Sarah anasema…

nimeupenda sna huo ujumbe hapo juu dada ubarikiwe na siku njema
At 7:00pm on Machi 24, 2009, Dismas anasema…
Mambo vp Bbland, hivi yule kwenye picha aliyo iadd Majoy leo ni wewe? Upo na Mama mwenyekiti pamja na Majoy.Amani kwako dada, nakufagilia ile ile.

2po pa1
At 8:20am on Machi 24, 2009, Majoy anasema…
Haya mwaya sasa tutafanyanye kama wanaotupa misaada wanaanza kujitetea kwa mtikisiko wa uchumi?!!! msemo wako dia hapa dawa ni kukopa tu na kujianzishia kimradi hata kama cha kuuza ice cream za sh.50 c unazijua zile za uswazi? najua huwezi kukosa wateja unless mtaani kwako kuwe hakuna watoto wa shule!!!!
Oke mpenzi nakutakia cku na kazi njema huko uliko.
At 8:18am on Machi 24, 2009, ANGEL NEHEMIAH anasema…
Upo my dear? Ni muda mrefu sasa sijapita hapa kijijini. Yaani nimekuwa tight mno kiasi cha kushindwa hata kuwapitia wanakijiji. Mambo vipi lakini?
At 6:47pm on Machi 23, 2009, Dismas anasema…
Amani kwako Bbland. 2po pa1
At 12:57pm on Machi 23, 2009, Majoy anasema…
Pole na baridi sasa ngoja nikufundishe njia ya kukomesha baridi....chukua kopo la bati lenye mshikio then tia makaa ya moto ndani yake,funika kwa juu halafu kila unapoenda unacho kikopo chako kwa penmbeni mbona baridi itakukomaaa hahahaa!! ila usivae nguo ya nailoni maana utaungua.
Enhee lete habari ni vp haka kamtikisiko ka uchumi kanakupa changamoto hebu niambie mwenzangu research zenu zinaoneshaje kwa ss tulio kwenye harakati za kuendelea.
Kazi njema mpendwa be good.
At 10:48am on Machi 23, 2009, NSAJIGWA anasema…
pouuuuuuuuuwamkono wa bwana ukuangazie nuru yake katika miangaiko yako
At 1:22am on Machi 23, 2009, Ndekia anasema…
hope your ok!!!!!!!!!!!
At 10:35am on Machi 21, 2009, Babukadja anasema…
Hivi ni mchakamchaka au nini zaidi kilichokupoteza namna hii mtu wangu?

Nipe ripoti, ahahahahaha!
At 12:11pm on Machi 19, 2009, Majoy anasema…
Mie niko poa mamii kama ulijua!! vp ww hujambo lakini?? maana umeadimika sana mpenzi,asante sana kwa kunikumbuka mpendwa.nakutakia cku njema nawe pia.
At 7:31am on Machi 18, 2009, alma anasema…
***Habari ya wewe blandi***me niko bien,
At 8:56pm on Machi 17, 2009, Don Magere anasema…
Mtaa huu kuna usalama kweli?
maana kimya kinazidi sasa kulikoni?
wakati mzuri nakutakia dada.
At 6:52pm on Machi 17, 2009, NSAJIGWA anasema…
mambo B,niko safi
At 6:10pm on Machi 10, 2009, Ayan anasema…
asante Bblandi kwa kunitakia siku ya kuzaliwa kwangu
At 3:18pm on Machi 4, 2009, Sarah anasema…
Nimepita kukusabahi dada Blandi
uwe na siku njema
At 10:42am on Machi 4, 2009, Majoy anasema…
Ucjali mamii kazi ni uhai na hilo gurudumu ni lazima tulisukume mpaka ufike unapopataka maana bila hivyo maisha bora itakua hadithi au sio??
Mi mzima namshukuru mungu ,nakutakia kazi njema.

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter