asante sana dadangu mpendwa kwa ujmbe wako mzuri. tupo salama twamskuru mungu ela sehemu nyingi zimeathirika na mafuriko na mvua bado yanyesha. have a nice day with lots of love and god bless you
At 1:29pm on Ocktoba 27, 2009, mujydebubyz anasema…
shukran kwa ujumbe wako dada sisi hatujambo hapa mombasa isipokuwa kumenyesha mvua kubwa sana ikaleta mafuriko lakini tuko salama. kuwa na wakati mwema dada bye
Maoni ya REBECCA KASUWI
Comment Wall (99 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu
mimi mzima wa afya njema nakutakia
mchanamwema baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mambo vipi m2wangu nakuo umeshika
daf...kazana na kusoma m2wangu
jioni njema baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Amani kwako dada
2po pa1
I hope that you are fine Your picture is too small to be seen
Please expand your picture
Bazil
naomba msinichoke maana nimerudi kwa nguvu zote
usijali dada angu tupo pamoja
siku njema
Karibu
FotoBaraza.Net
JIUNGE
au Ingia Kijijini
Kuhusu
Besdei za Kuzaliwa
Wazaliwao Leo
Hussein athuman Mwinge Gift
Wazaliwao Kesho
Thabit Lema Gift
Mathew Senga Gift
© 2010 Created by Babukadja on Ning. Create a Ning Network!
Beji | Report an Issue | Faragha | Terms of Service