FotoBaraza.Net

Maoni ya Dismas

Comment Wall (1,564 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 2:05pm on Novemba 15, 2009, Astol Mwangomo anasema…
Vipi wewe Mzima ,mbona kimya sana ?Haidhuru uwe na weekend njema sna
At 11:17am on Novemba 15, 2009, Dada anasema…
Usinipite mwokozi,
Unisikie,
Unapozulu wengine,
Usinipite.
Dismas, Dismas, unisikie,
Unapozulu wengine, USINIPITE!!!!!


Amani kwako dogo.
At 7:43pm on Novemba 14, 2009, Mama Malaika anasema…
Hujambo? Denzil apiga chabo kwa mtoto mzuri
At 3:30pm on Novemba 14, 2009, noelahusna anasema…
mh jamani yani kuna mkaka anaitwa noelhusna?makubwa,,,,,,,mzima lakini.wend njema
At 3:44am on Novemba 14, 2009, cool anasema…
mambo my friend uwe na wekend njema
At 2:35pm on Novemba 13, 2009, Omari Namanji anasema…
kaka mimi mzima wa afya njema
sijui wewe?nakutakia wikendi njema
baiiiiiiiiiiiiiiiiiii
At 1:38pm on Novemba 13, 2009, CHA the Great anasema…
Jitahidi uwe unawasha taa, maana kwako kuna giza sana. Yaani mgeni mpaka uje na taa yako!
At 1:21pm on Novemba 13, 2009, NSAJIGWA anasema…
Amani kwako.
At 11:47am on Novemba 13, 2009, Leila anasema…
Nashukuru sana kwa kupita kunisabahi.

Pamoja kama kawa..
At 11:31am on Novemba 13, 2009, Michuzi Jr anasema…
kwema kaka,naona unazidi nitupia kizani mkuu maana ahadi zako zote zimekuwa zikiyeyuka bila mafanikio sijui hata ni kitu gani kinachokuogopesha mkuu??

lakini salama kabisa pande yako mkuu??
At 1:16pm on Novemba 12, 2009, Cat Wa Ukweli. anasema…
umeadimika kweli jamani.
At 1:15pm on Novemba 12, 2009, Cat Wa Ukweli. anasema…
hv upo we kjana?
At 10:56am on Novemba 12, 2009, Dada anasema…
pole sana ndugu yangu. Getwell soon
At 5:51pm on Novemba 11, 2009, Godwin Habib Meghji anasema…
powa mzee nimeshaingia bila kubisha hodi
At 4:32pm on Novemba 11, 2009, Meshack maganga anasema…
kaka samahani kazi nyingi nikija hapa sipati muda wa kukuaa sna ila tupo wote
At 4:14pm on Novemba 11, 2009, Lucie wa mama anasema…

Kaka namiss wewe
At 11:59am on Novemba 11, 2009, Omari Namanji anasema…
kaka mzima wewe
At 7:54am on Novemba 11, 2009, araway anasema…
mura! sijakimbia hapa mura! ni yale majamaa yalikuja mura! sema kaka mzima wewe? nipo mkuu mbona ulikimbia kikao mkuu?tulikuwa tunakusubiri kwa hamu sana mkuu na oswald alikuwa anakusubiri kwa hamu zaidi sijui mnakesi gani! sikunyingine usiingie mitini basi
At 8:56am on Novemba 10, 2009, Lucie wa mama anasema…
Vp bro unaumwa? mbona kimya kiviiile!!!!1
At 10:12am on Novemba 9, 2009, Dada anasema…
nasubiria umtaje huyo unae mpenda dogo!!! Mambo vipi? Umepona?

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter