FotoBaraza.Net

Maoni ya Don Magere

Comment Wall (1,147 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 6:53pm on Agosti 1, 2009, CHA the Great anasema…
Nipo Lecturer wangu.

Mambo vipi lakini
At 6:41pm on Julai 31, 2009, araway anasema…
http://fotobaraza.ning.com/group/burdanimbalimbali PAMOJA MKUU!
At 5:13pm on Julai 31, 2009, Mathew Senga anasema…
Ahsante sana Don!Nimemwachia Mungu, napambana na life. Kwema lakini kaka?
At 8:49am on Julai 31, 2009, Mabagala anasema…
Halafu jaji wani leo mara ya mwisho anye ntali mfumu!!!
At 8:45am on Julai 31, 2009, Mabagala anasema…
Huu wimbo ni kwa wale wadada karuka, wanaokuwa na watoto halafu hawawaonyeshi baba zao,au hata kuwaambia majina ya baba zao. Acha jamaa aongee kwa ukali, maana ni tabia mbaya sana.
At 9:22pm on Julai 30, 2009, cherry anasema…
Huku kwema kaka yangu ila naona watuumiza roho na hio weather sie huku tumesha give up kua na summer mwaka huu,kubaya mno sweta bado zavaliwa na makoti can you believe it and it's end of July.Enjoy ur weather while it still last maana haiaminiki.
At 5:26pm on Julai 30, 2009, araway anasema…
sema kamanda wangu! habari ya familia yako? jioni njema mkuu
At 10:18am on Julai 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Salama mkuu? Nimepita kukujulia hali na kukutakia siku njema
At 8:44am on Julai 29, 2009, Mtoto mzuri anasema…
Karibu mihogo
At 1:37am on Julai 26, 2009, komredi anasema…
niambie balozi wa kijiji hiki cha fotobaraza vp uko pouwaaaaaaa lakini
mimi nimepita kukujulia hali naelekea mtaa wa pili tutaonana wakati wa kurudi panapo majaaliwa.
nakutakia siku njema#
At 9:50am on Julai 23, 2009, Mtoto mzuri anasema…
Baba baraka kazi njema
At 9:18am on Julai 22, 2009, CHA the Great anasema…
One Love One Heart One Destiny!

Peace!
At 9:51pm on Julai 20, 2009, Sarah anasema…
Like mama like mtoto safi sana shemeji,,
At 4:23pm on Julai 20, 2009, Waridipolejeusi anasema…
Bw, Magere ahsante sana kwa baraka zako za wikiendi, zimenifikia.
Huku mwisho wa wiki ni alkhamisi na Ijumaa.
Nakutakia kila la kheri nawe pia huko uliko.
Wiki njema.
At 2:45pm on Julai 20, 2009, Lucie wa mama anasema…
Mi sijambo mkuu, w end ilienda vizuri tu bila shaka hata kwako ilikuwa shwari
Pamoja kaka
At 2:30pm on Julai 20, 2009, araway anasema…
sewma mkuu habari za wiki hii? nakutakia mihangaiko yenye mafanikio!
At 12:38am on Julai 20, 2009, Ndekia anasema…
sema mkuu wangu bila shaka weekend imemalizika salama na hivi sasa nipo job as usual hofu kwako mkuu wangu uliye mbali nami mkuu wangu......
At 10:05pm on Julai 18, 2009, Dunda anasema…
Mkuu naanza na salam kwako
mambo ikoje?sisi wazima amani tuu
haya mimi napita hapa mtaani kwako
nakutakia wiki end njema
At 9:37am on Julai 18, 2009, araway anasema…
mkuu mimi nisalama kabisa na wekend ndo hiyo napalilia magimbi tu leo! salimia familia
At 8:04am on Julai 18, 2009, Mabagala anasema…
Msigaji anye ntali mfumu, utakungwa li matwi awe! hahahahaaa Weekend yangu huwa jumamosi sio Ijumaa. Leo ni kupombeka tu kama kawaida

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter