Hahaha..Naona leo ndio mlikuwa na outing basi ukawa full online.. Mi mzima kabisa sema tu sasahivi huku hakukaliki hilo baridi lake nahisi kuganda damu.. Kitabu tight yaani chamoto hadi kimepitiliza.. Wape hi wote najua tutawasiliana tena mwisho wa mwezi... Kitabu chema siz...// Micn u tooo
At 8:09pm on Novemba 1, 2009, CHA the Great anasema…
Dada Furaha Marahabaaaaa! hujambo wewe? ..ahsante sana kwa kunipitia, habari za masiku tele, salama?
Nakutakia kila la kheri na ahsante kwa kunijulia hali.
Stay blessed!
Maoni ya Furaha
Comment Wall (232 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu
vipi mzima wewe lakini na masomo yanakwendaje huko mtu wangu??
PamoJah sana Dada
Nikutumie lini dada yangu?
Mimi niko poa sana Dada sijui wewe tu huko A-Town,vipi mko poa??
Vipi shule inaendeleaje?
Nami nakitakia kila la heri katika masomo yako.
Basi uwe na wakati mzuri sana Weekend
kuondoka bila kuku julia hali je?
mzima wewe mimi wa afya njema
nakutakia jioni njema
baiiiiiiiiiiiiiiiii
PamoJah
mimi mzima wa afya njema
natumain tupo pamojah
nakutakia asubui njema
baiiiiiiiiiiiiiiiii
Nakutakia kila la kheri na ahsante kwa kunijulia hali.
Stay blessed!
Karibu
FotoBaraza.Net
JIUNGE
au Ingia Kijijini
Kuhusu
Besdei za Kuzaliwa
Wazaliwao Leo
Hussein athuman Mwinge Gift
Wazaliwao Kesho
Thabit Lema Gift
Mathew Senga Gift
© 2010 Created by Babukadja on Ning. Create a Ning Network!
Beji | Report an Issue | Faragha | Terms of Service