FotoBaraza.Net

Maoni ya Oswald Jonh Akyoo

Comment Wall (988 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 9:02am on Julai 10, 2009, cherry anasema…
Habari za mtaa huu,natumai umzima wa afya.Nani huyo alokuficha namna hio hata nduguzo ukatutupa hivyo? Kua na Ijumaa njema.
At 7:42am on Julai 10, 2009, Leila anasema…
Asifiwe sana Oswald
At 6:26pm on Julai 9, 2009, Sarah anasema…
Asante mkaka naona kitambi chazidi kuongezeka jamni mhh hongera sna na wknd njema salam kwa umpendae
At 1:23pm on Julai 9, 2009, beatriz anasema…
we jua 2 ndo namba yangu. pole kwa mcba wa kaka yako coz angeishi tena kidogo ningekua shemeji yako......................... bt i hop uko poa!!!!!!!!!!!!
At 11:48am on Julai 9, 2009, FETTY IBRA. anasema…
heshma yko kaka!! mi niko pouwa sana wangu but bado 2kokatika kukamilisha kamilisha mitihani i hope mpaka kesho Allah akijaalia tutamaliza. nyc tym!!!
At 12:55am on Julai 9, 2009, Ndekia anasema…
mzazi upo????? mambo vipi?????
At 2:10pm on Julai 8, 2009, Mama Malaika anasema…
Nasi pia majonzi ndio yametawala... utasema kaenda anarudi tena. Ama kweli kifo hakichagui
At 1:26pm on Julai 8, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari ya hapa jamani.......
At 10:51am on Julai 8, 2009, Lucie wa mama anasema…
Oswald mpenzi, usiogope mi nilijua watakuzingua wale wana wivu kama nn! usimwambie jorge hihihiii
kwema lkn?
At 7:20am on Julai 8, 2009, Mathew Senga anasema…
Thanks Kamanda!
At 1:25pm on Julai 6, 2009, Mathew Senga anasema…
Ahsante mkuu! Karibuni, 0715263443
At 12:27pm on Julai 6, 2009, Ritha T anasema…
Hahahaha...usijali.
namtuma mesenja wetu akuletee.ila ipo kidooooooogo sana.
At 12:19pm on Julai 6, 2009, Dismas anasema…
Safi sana Oswald kwa mchango wako kwenye ile ishu na mawowowo na mahips. Mi nilijua tu, Fataki kama wewe lazima utakuwa unajua mengi kuhusu ile ishu hahaahaahaaaa. Hvi toka umeanza kuwafuatilia mabinti wa hapa kijijini, umefanikisha kuwapata wangapi? nipe orodha mkuu, nahic hadi sasa bado huja win hahaahahaaaa

2po pa1 mkuu
At 7:57am on Julai 6, 2009, Ritha T anasema…
subira yavuta heri.....we endelea kuisubiri keki mbona nimekuifadhia kwenye friji.
we sema lini unanunua wine nikuletee keki ule vizuri.
have a nice day.
At 8:40pm on Julai 5, 2009, Bby Candy anasema…
Lol kuna Ultimate Security mwache huyo Dis atie maguu akione.
At 8:23pm on Julai 5, 2009, Bby Candy anasema…
hahahaha Oswald umenichekesha anaitwa Faiza mtoto wangu, jamani mwacheni asome kwanza staki mahari ya mtu na isitoshwe nimefuga mijibwa sita, kaeni chonjo
At 5:29pm on Julai 5, 2009, Dismas anasema…
Hahahaahaaaaa! mjinga noma wewe. Unafaa kuwa paparazi m2 wangu, kumbe umeshastukia ishu ya mtoto wa Candy? Ila hamna noma, yule ninamngojea akue halafu ndo ishu nyingine zitafuata.
At 5:19pm on Julai 5, 2009, Dismas anasema…
Hebu nenda kawe wa kwanza kutoa komenti kwenye mjadala wa Madawa niliouanzisha. Najua utakufaa sana
At 5:16pm on Julai 5, 2009, Dismas anasema…
Hahahaahaaaa! Fataki ni jibaba linalopenda mabinti wadogo, na Mataki ni jimama lipendalo vijamaa vidogo. Mfano mzuri wa Fataki ni wewe hahahaahaahaaaa, na mfano mzuri wa Mataki ni .......................

2po pa1 mwana
At 6:07pm on Julai 4, 2009, Dismas anasema…
Hahahaahahahaaaa! wewe ni noma mwana, hebu kuwa muwazi.Ulimfanya nini hadi udai kumtumia ndimu hapo baadae, mi cjaelewa mlichoukuwa mnafanya.

Amani kwako mkuu

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter