FotoBaraza.Net

Maoni ya Araway

Comment Wall (602 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 3:34pm on Novemba 24, 2009, beatriz anasema…
niende wap weweeeeeeeeeee...................me hapa ndo nshafika
At 3:10pm on Novemba 24, 2009, james anasema…
Ahsante kaka
At 3:48pm on Novemba 20, 2009, Mama Malaika anasema…
Mzee wa magimbi vipi msimu tayari tuje kula?? Sijui viazi navyo vipo maana navipenda sana sana.
Ijumaa yasemaje pande yako? Hapa ni mvua kwa sana na mafuriko ya kuua watu
At 9:13am on Novemba 20, 2009, Dixon anasema…
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 2:48am on Novemba 19, 2009, Sarah anasema…
Salama humu ndani??
At 11:59pm on Novemba 18, 2009, Dunda anasema…
kaka vp
kwema lakini
At 5:44pm on Novemba 18, 2009, CHA the Great anasema…
Amani iwe nawe!
At 3:42pm on Novemba 17, 2009, Mama Malaika anasema…
salaleko!!
At 3:26pm on Novemba 13, 2009, Omari Namanji anasema…
kaka mji kasoro baali awajambo?
At 12:35pm on Novemba 13, 2009, ladymwana anasema…
hahhahah.

nakupa hi kaka, wasalimie huko mji kasoro bahari.
At 6:32am on Novemba 13, 2009, Sophie anasema…
my dia, yani umenishtua na mathwali yako ya mfululidho!!nimekotha nini kaka?
At 1:10pm on Novemba 12, 2009, Cat Wa Ukweli. anasema…
morogoro wazima mkuuuu?
At 12:11pm on Novemba 12, 2009, Furaha anasema…
Leo nimemuona wifi lol, kumbe wajua kuchagua hivyo.

Msalimie sana, halafu fanya mipango fasta usije ukaporwa na fataki
At 7:11am on Novemba 12, 2009, Dismas anasema…
Mwana tupo pa1. Cku ile nilikuwa naumwa mkuu, hadi sasa cpo fresh sana ila nilipania sana kuja. Mimi nahic Oswd aliniroga, ili totoz zote azimiliki yeye hahahahaaaaaaa.

Amani kwako mkuu
At 10:36pm on Novemba 11, 2009, james anasema…
Thanx brother araway kwa ukaribisho wako
At 6:44am on Novemba 11, 2009, Ritha T anasema…
angalia yahoo yako baadae.
nimekutumia yale maua uyapendayo,lol we nawe una presha.
At 6:38am on Novemba 11, 2009, Dismas anasema…
Kakaaaaaa! tumegombana nini? au ni kale kahela ninacho kudai ndo kanakufanya ucje kwangu hahahahaaaaaa.

Amani kwako mkuu
2po pa1
At 7:44pm on Novemba 10, 2009, Mama Malaika anasema…
Mulibwanji!!
At 3:28pm on Novemba 10, 2009, Sarah anasema…
Mic yoo tuu mwah!
At 2:28pm on Novemba 9, 2009, Mama Malaika anasema…
Salama hapa? Nilifurahi kweli kuongea nawe Jmosi.

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter