Prob..August ntarudi hospitalini niwatumikie waTZ...in the mean time nawatumikia kupitia prnit media..huwa naandika articles na Majira Jumapili....Tatizo hii fani yetu hapa nyumbani imekaa kiwito sana,hailipi kivile kwa junior doctor ka mimi...afu mtoto mwenyewe nimezaliwa kwenye kizazi cha dot com...kukaa kwenye waiting list ya kutoka naona usiku...anyways,i know one day ntakua naenjoy kutibu kama nilivokuwa nikifancy kabla ya kuanza training..tchao! Thank God It's Friday!
Kaka hata mimi nimesikia ukinyata, mambo yako poa kaka ni mishemishe zinakuwa nyingi tu. Sasa lini unaanza kutibu aisee, mi nataka niumwe bwana, ahahahahahahah!
Kaka nakwambia kijiji kinakuwa kama fangus. Nashukuru Mungu watu wamekiunga mkono. Wakati naanzisha sikufikiri kuwa watu wangekuwa na mwamko wa kukijenga kijiji kwa ari namna hii.
Comment Wall (7 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu