Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 11:14am on Ocktoba 5, 2009, Mtoto mzuri anasema…
At 3:27pm on Ocktoba 1, 2009, Mama Malaika anasema…
Salama ndani humu? Asante kwa msge... na ile kuhusu nyumba ni ndefu kama gazeti nitaisoma nikipata muda. LOL......
Nikiwa tayari mzigo nitakwambia. Vipi kibaridi hakijaanza ku-beep Hamburg?
At 10:42am on Septemba 19, 2009, Mama Malaika anasema…
hata leo ni sawa... ila kesho nitakuwepo home kuanzia 4pm. Habari ya siku tele? Asante sana kunikumbuka... vimeo vinanizungusha akili
Mh we bongo ushaopoa nini haha haha safi sana niletee Redds tu maana nikifikiria mpk mwakani naona mbali haha hah
haha we karibu usikilize lile song ila usiangalie pic haha au sio?? siku njema na mic wewe balaa