mambovipi mkuu naona bwawa limeingia luba ...te te te te te te te te te yani mpaka mate yamenipalia.........ko ko ko ko ko ko.sasa tizama wanaume leo wanavyo myoa mtu hahahahahhahahhahhahaha usijali mkuu wawilaya ni vijimambo tu. tupo pamoja mkuu
At 11:58am on Aprili 15, 2009, Mama Malaika anasema…
Mambo vipi mkuu wa wilaya ya nanihii? Nimeona si vibaya kukusalimia asubuhi ya leo. Nashukuru sana kwa kunipa muda wako jana. Nilifurahi sana nilipokutana na wewe live. Namshukuru Mungu naendelea vizuri na nilifuata ushauri wako kama tulivyo jaribu kubadilishana mawazo ya kimaisha kwa ujumla. Tutazidi kuwasiliana kaka. Kila la kheri.
Comment Wall (70 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu
vekesheni inaendeleaje? vipi umeishatia mguu hapa Deutshland yetu au bado uko huko kwa Obama?
uwe na vekesheni njema
haya ikiwa bbc imewakutanisha wale jamaa
sasa na wewe mkutanishe Makamba Maalim Self
wapange jinsi ya kutumia yale mafuta kule visiwani
Ona Maoni Yote