tulishalishwa kasa tangu mapema kuywa mabo yetu ni ya kishenzi na si ya kistaarabu hivyo ni lazima tuwe kama wao kila kitu kikawa hakifai,tukaanza mbwa wa kizungu,kuku wa kizungu,paka wa kizungu,jina la kizungu,jamani duuuuuuuuuuu ndio maana sisi tu…
Heeeee sasa ni boto wa tipper bado kwa kaka obama na kwa mjomba gadaff.nia njema iliyoanzishwa nafsini mwenu na ikatimizwe kwa uwezo wake mwenye enzi daima na millele
At 7:33am on Novemba 25, 2009, Mama Malaika anasema…
Nashukuru kwa salamu za wajomba zako. Huku kwenye uafadhali tunalia na baridi, mvua (storms). Zaidi ya hapo mambo sio mabaya. Nimesikitika kusikia samaki wamepungua, basi hata hao dagaa na mchanyanto vyatosha. Ha haaaa..
Hao samaki wa magufuli ndio wakoje? Naomba unieleweshe. LOL...
At 3:33pm on Novemba 20, 2009, Mama Malaika anasema…
Mjomba wa Malaika... habari za Dar? Au uko Ludewa hivi sasa ututumie samaki? Nimeku miss kweli kaka yangu
At 11:29am on Ocktoba 31, 2009, Omari Namanji anasema…
mambo vipi mzee mkubwa
mzima wewe nakutakia
mchana mwema baiiiiiiiiiiiii
At 5:54pm on Ocktoba 15, 2009, Mama Malaika anasema…
At 1:27pm on Septemba 22, 2009, wangamaganga anasema…
kumbe unajua mambo ya ikyupu na lyamba lya mfipa sasa wahangaishwa na nini, tulia dogo ule dagaa wako na kisamvu vinatosha, ukibadili sana unakwenda upareni kula makande teheteheteheeeee!
At 8:03am on Septemba 18, 2009, Michuzi Jr anasema…
haha ahaha ahaha aha........
wala usikonde mkuu Naifu mambo yatakuwa poa tu siku hiyo.
vipi wabasemaje Ludewa huko??
At 4:31pm on Septemba 17, 2009, wangamaganga anasema…
We bwana mdogo balaa unalolitafuta siyo la saizi yako, we watu washaanza kwenda ngende (Liwale) na Mlingotini (Bwagamioyo) weye unachonga tu Dar oooh nataka ubunge!
Wakikupenda sana hao jamaa ubunge utausikilizia Mirembe hukooooooooo Idodomya!
At 11:35am on Septemba 17, 2009, wangamaganga anasema…
Bora wende huko kwenye siasa utuachie mafungu yetu huku kwa wataalamu manake umezidi sana kutubania