FotoBaraza.Net

kashinde
Shirikisha 
Twitter

Marafiki wa Kashinde

Makundi ya kashinde

 

Ukurasa wa kashinde

Gifts Received

Gift

kashinde has not received any gifts yet

Give kashinde a Gift

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Desemba 31, 2009
kashinde and benny lordvice are now friends
Agosti 25, 2009
kura yangu kwa michuzi jr.
Agosti 16, 2009
Mei 16, 2009
Februari 27, 2009
kashinde joined Ritha T's group
Uwanja wa mapishi na aina mbalimbali za chakula. mnakaribishwa wadau kutupa aina mbalimbali ya mapishi na chakula.kumbuka hata mchele mmoja unaweza kuupika ktk aina 50 za mapishi.
Februari 12, 2009
Februari 11, 2009
Februari 10, 2009

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
chalinze
Umri
30+
Kazi Unayofanya
mkulima
Namba ya Simu ya Haraka
-
Tovuti Yako:
http://-
Anuani ya Barua Pepe
uta-jiju@hotmail.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
-kike

Comment Wall (34 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 3:38am on Desemba 31, 2009, cherry anasema…
UMEADIMKA
At 11:25am on Machi 7, 2009, cherry anasema…
Sis umepotea kiaina nawe,natumai maendeleo mazuri.Kua na w'end njema.
At 2:46pm on Februari 27, 2009, Mzeiyah! anasema…
Mambo poa m2wangu si unajua pilikapilika za maisha,ila tupo pa1 m2wangu from now mtanichoka.
At 6:24pm on Februari 11, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante kwa salamu. Habari ya siku tele?
At 2:23pm on Februari 11, 2009, Herieth anasema…
Asante sana kashinde wangu, vipi habari za Chalinze, machungwa vipi yameiva nije kukusaidia kuvuna? gud day
At 6:38am on Februari 10, 2009, Christina Innocent (Mama Bishanga) anasema…
yaani senene hao kwa sana sana tu lakini mie natokea masasi nitakupikia samaki nchanga hebu muulize mzee vava akupe habari za samaki nchanga' lakini yote heri kwa mama kila kitu kipo na kudeke full kujiachia,Asante
At 9:45pm on Februari 9, 2009, Doreen anasema…
Swadakta. Sijambo na nashukuru mambo yanaenda. Natumaini na wewe u mzima
At 5:22pm on Februari 9, 2009, cherry anasema…
Habari ni nzuri kwa sasa tulikua tunauguzana na homa,unajua watoto walivyo mmoja akiumwa mwengine adake.Theluji ina wapelekesha waingereza kiasi mambo yote yasimame.Vipi na wewe huko?? nyie mshaizoea ya kila mwaka inabidi waingereza waje kozi Canada maana wamejisahau sana haha.
At 10:17am on Februari 9, 2009, fatma mrisho anasema…
salama. and thanx for the greetings.............
At 12:19pm on Februari 6, 2009, Doreen anasema…
Samahani mi nimeangalia jina kwa haraka haraka sikuangalia jinsia hapo juu, kumbe huko nako kuna wakulima toka huku, safi sana
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter