At 12:04am on Novemba 28, 2009, Mama Malaika anasema…
Kaka yangu mbona umepotea sana?? AU bado uko Sweden? Malaika anauliza uncle yuko wapi kote Dar hadi Tukuyu na Kyela kafika mwezi June kukuulizia jamani. Nakutakia wakati mzuri
sio mpaka mungu anionyeshe,ila tu nimeshuhudiwa ndani ya moyo wangu kuwa nyimbo za dini zinalipa kuliko bongofleva.nahisi mauzo ya rose yapo juu kuliko mr blu.nataka nikubadilishie ladha au siyo?
siku njema kwako pia.
Mwanangu hapa ni jiko la mkaa tena ule wa msata pande za bagamoyo, nasikia ndo unawaka vizuri. Hata hivyo, sasa hivi ni jua sana summertime, hizi nguo zinazovaliwa wakati huu mh!! inataka mwenyewe uone ndo uamue.
Asante sana kaka yangu. Malaika anasema hawezi kwenda bongo hadi wewe mjomba mtu uwepo ili umpeleke Mbeya akale ndizi na mpunga. Shemeji yako ndio ana hamu sana kwani kwa ndizi humtoi, anazikumbuka kila siku. Mie nina project hapa imenibana, si unajua tena kazi ni kazi. Ila nikimaliza tu project siku hiyohiyo tutakata return ticket online na kuondoka.
Warudi lini bongo? Karibu sana UK kaka yangu.
At 7:42pm on Aprili 15, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante sana kaka yangu kwa busara zako na ndio maana nilikukumbuka. Ukiondoka hiyo May utarudi lini TZ? Nami mwezi May nategemea kuja Sub Sahara kuwaleta wajomba zako kina Malaika wakati na wewe mjomba wakimbilia northern hemisphere. Hapo kazi kweli kweli. haaa....
Sie sote tuko wazima ila mie ndio nimebanwa, I'm juggling with work, university, family, with the added pressure to be a proper wife. It's the skill of a woman who grew up on the third world country. LOL.....
Nakutakia maandalizi mema ya safari.
At 12:10pm on Aprili 15, 2009, Mama Malaika anasema…
Ulikughu wa kumyitu. Mbona kimya kingi? Nimekukumbuka mweee.....