FotoBaraza.Net

james jingo
  • -kiume
  • dar es salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 
Twitter

Marafiki wa James jingo

Makundi ya james jingo

 

Ukurasa wa james jingo

Gifts Received

Gift

james jingo has not received any gifts yet

Give james jingo a Gift

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Mei 16, 2009

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
bongo,dsm
Umri
31
Mahusiano:
In a Relationship
Jinsia
Male

Comment Wall (15 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 4:44pm on Agosti 30, 2008, komredi anasema…
Ni muda mrefu sasa umepita sijaonekana hapa kijijini ikiwa si kawaida yangu kupotea ghafla na kwa muda mrefu namna hii na kupelekea baadhi ya wanakiji kuwa na wasix2 na kutaka kujua kulikoni.
Kwa kifupi mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ila ni majukumu ya maisha ndio yaliyosababisha yote haya lakini hata hivyo nimerudi kijijini kwa nguvu zote na kasi ileile ya awali. ningependa kuomba samahani kwa sms zako ulizonitumia ambazo nilishindwa kuzijibu kwa wakati muafaka, kwa sasa nakuahidi kuwa nipo kijijini nimerudi na kuendeleza libeneke hapa kijijini. kwa kweli nimekumiss sana mwanakijiji mwenzangu, lakini sikuwa na jinsi ni maisha ndivyo yalivyo naomba tuvumiliane. namuomba Mungu aendelee kukupa moyo wa uvumilivu, bado tupo pamoja. nakutakia siku njema na w/end njema
At 9:20am on Agosti 18, 2008, Mm eFrancia anasema…
Mambo ni safi kabisa kwangu sijui hapo kwako.

Nakutakia pia siku njema.
At 11:26pm on Agosti 10, 2008, komredi anasema…
ni matumaini yangu kuwa week end imeisha salama na mambo yote yalikwenda kama yalivyopangwa. huku kwetu tunamshukuru mungu tumesalimika
At 9:54am on Agosti 9, 2008, Mm eFrancia anasema…
Nakutakia mwisho mzuri wa wiki.
At 11:28pm on Agosti 8, 2008, komredi anasema…
poa kaka hata mimi pia nashukuru mungu pande hizi tumesalimika, poa mzee nisalimie sana pande hizo
At 12:44am on Agosti 8, 2008, komredi anasema…
ahsante mkuu
Mungu akulinde kwa kila baya
At 3:21pm on Agosti 7, 2008, komredi anasema…
nashukuru mkubwa kwa kupita hapa barazani kwani na kunijulia hali pia nashukuru kwa kuisifia album yangu.
vp nawe mzimaa???
At 8:24am on Agosti 7, 2008, james jingo anasema…
mambo vipi win!
natumaini umeanza siku yako vyema kabisa....kama mimi,nashukuru kwa ujumbe..ni kweli...ni kazi kwa kwenda mbele as u said..mwisho wa mwezi unalia kivulini teh teh ..!furahia siku yako.
cheers babygal!
At 9:59am on Agosti 6, 2008, Mm eFrancia anasema…
Vipi kaka uko pouwa, mimi niko pouwa kabisa na niko job nachapa kazi ili nione matunda ya kuwa mkubwa mwisho wa mwezi.

kuwa na muda mzuri siku ya leo.
At 2:26pm on Agosti 5, 2008, Mm eFrancia anasema…
Asante nawe pia kuwa na muda mzuri jioni hii.
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter