FotoBaraza.Net

damnan
  • -kiume
Shirikisha 
Twitter

Marafiki wa Damnan

Makundi ya damnan

Mijadala ya damnan

Zanzibar tutakosa umeme kwa muda wa wiki tatu ama na zaidi

poleni sana ndugu zetu wa zanzibar kwa kukosa umeme hayo ni mateso makubwa sana mnapata zaidi ya hayo kuna hatari ya kuenea kwa magonjwa maana umeme ni kila kitu bila umeme hampati maji. nasi ni kuwa…

Amejibu Dec. 14, 2009

NI HATUWA GANI TWAWEZA KUCHUKUWA WANAOUZA MADAWA YA KULEVYA,

nimasikitiko unapotembea mitaani na kuwaona vijana wetu na wasichana wamelala kwa kuka na huku nyute zawatoka mdomoni. zaidi ya hayo wanaambukizana ukimwi kwa kujidunga sindano moja. kuletea jami aib…

Started Oct. 12, 2009

JE,KUNA MADHARA USAGAJI?

ni laana kubwa sana kwa mwenyezi mungu tabia hiyo na pia wanapoteza hamu ya kufanya ngono na mwanamume zaidi ya hayo wanawafundisha wasichana wadogo usagaji ambayo inawaletea madhara ya ktotamani kuo…

Amejibu Oct. 12, 2009

Swali Kwa WanaKijiji Woote

munaposema au kufikiria mahali pakukutana kwanza mufikirie wenzenu wanaotoka miji tofauti na wengine wanatoka inchi tofauti. naona mfalme aliye tanga awe mwenyeji wetu au mwasemaje wanakijiji

Amejibu Oct. 7, 2009

 

Ukurasa wa damnan

Gifts Received (1)

Santa Claus Sent Anonymously

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

NATAKA KUANZA KUTOA SOMO KATIKA UKUMBI HU ,JE NARUHUSIWA NA WADAU KILA SIKU NITOE SOMO SENTENSI TANO TANO?
masaa 2 yaliyopita
Napenda kuchukua fursa hii kumshukuru aliyeanzisha huu ukumbi na wale wote wanaoweza kuingia sehemu hii takatifu na kujifunza kama si kutufunza na kukumbushana pale pindi tunaposahau kama si kujifanya tumesahau... Insahallah MOLA awape ufahamu zaid…
masaa 4 yaliyopita
Rehma na Amani ziwe juu yenu Enyi mlioamini
masaa 4 yaliyopita
ASALAM ALAIKUM. ukumbi huu ni wa kukumbushana na kuelimishanamaswala ya duniani na kesho akhera zaidi ni kumkumbuka maulana na mtu yoyote anakaribiswa kujiunga awe muislamu au si muislam bora tuwe na maoni ya amani karibuni
masaa 4 yaliyopita
Babukadja and damnan are now friends
yesterday
Shukran mama Ray na Amin inshallah M'Mungu(SA)atatuongoza kwenye njia iliyo nyooka.
yesterday
asalamalaikum ndugu zangu mwenyezimungu amesema katika kuraani wtoto mke na mali zenu ni fitna anamaana watt usipo waangalia vizuri na kuwafanya wafate maadili ya kiislam wanaweza kukuletea matatizo dunia ukaiona chungu pia wake na mali ukiiendekeza…
on Wednesday
on Tuesday
on Tuesday
on Tuesday
on Tuesday
on Tuesday
asalamalaiku amesema mtume hataingia mja peponi mpaka ampende ndugu yake kama anavyo ipenda nafsi yake tujiulize ndugu zangu sisi tupo kwenye hilo kundi sidhani kwa sababu utakuta ndugu tumbo moja hawaongei hawatembeleani ishaallah mungu atu hidi at…
on Tuesday
on Tuesday
on Monday
Asante Samira kukumbushana WAJIB, na nafsi kujisahau ni moja ktk kua binadamu huitaji kushtuliwa kidogo.
on Sunday

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
mombasa. mvita
Umri
50
Kazi Unayofanya
yategermea
Namba ya Simu ya Haraka
0733724838
Anuani ya Barua Pepe
hassandamnan@yahoo.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
-kiume

Comment Wall (54 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 4:27pm on Januari 5, 2010, ANGELA JUMA IPOGHO anasema…
NATUMAI UPO SALAMA NDUGU YANGU KHERI YA MWAKA MPYA2010 BILA KUSAHAU FAMILIA YAKO.
NINA FURAHA KUWA NA URAFIKI NAWE KATIKA HII FOTOBARAZA.
SALAMU KWA WOTE HAPO ULIPO.
At 12:48pm on Januari 5, 2010, Don Magere anasema…
Mkuu habari ya Mombasa ndugu!! Natumaini salaamu zangu (kadi) imeishafika kama nilivyotaraji!! basi tujulishane kama tayali imefika.
uwe na wakati mzuri.
At 4:32pm on Januari 4, 2010, abubakar anasema…
Assalaam alaykum,
Habari za masiku ndugu yangu?nimepita kukujulia hali.
Mimi nikpo poa.
Jioni njema.
At 2:31pm on Januari 2, 2010, Mama Rayan anasema…
asalam alaikum hali yako mie fine just nataka kujua hali yako
At 4:39pm on Desemba 31, 2009, Alfan anasema…
NEW YEAR
At 3:28am on Desemba 31, 2009, cherry anasema…
At 2:13am on Desemba 31, 2009, cool anasema…

At 11:17pm on Desemba 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari za siku kaka Damnan? Nakutakia kher ya mwaka mpya wenye mafanikio, baraka na amani tele.
Inshallah
At 10:30pm on Desemba 29, 2009, cherry anasema…
Mie sijambo ndugu yangu na asante kupita kunitakia kheri nawe nakuombea inshallah mwaka mpya uwe wa kheri na fanaka.
At 3:58pm on Desemba 29, 2009, cool anasema…
thanx my kaka nawe pia nakutakia maandalizi mema ya mwaka new
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter