FotoBaraza.Net

Babukadja
  • 29, -kiume
  • Dar es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 

Marafiki wa Babukadja

Makundi ya Babukadja

Mijadala ya Babukadja

BBC

Loading feed

 

Macho Yangu Yameuona Utukufu wa Jah

Gifts Received

Gift

Babukadja has not received any gifts yet

Give Babukadja a Gift

Comment Wall (2,011 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 9:51pm on Ocktoba 19, 2009, clara anasema…
mhhhhh mwenyekiti hupo nimepita kupiga chabo !!!
At 2:44pm on Ocktoba 16, 2009, Lucie wa mama anasema…
Mambo?
Namic wewe duh!
Uwe na W end njema basi
At 2:35pm on Ocktoba 14, 2009, Mama Malaika anasema…
Ni kweli umepotokea wizi. Nimeshangaa Young anambia kuwa ndio mchezo unaofanywa siku hizi bongo, mie sikujua kabisa. Banks wamenambia kuwa kuna watu (criminal gangs) wana clone cards tunapotumbukiza kwente ATM, kiji machine kinafichwa hakionekani, ukishaondoka jamaa wanachukua details zako na kutengeneza card nyingine mpya na ndio hiyo wanaitumia. Nasikia west Africa watalii ndio watu wanalizwa sana sana, ujue sie tunaogopa kutumia credit cards bongo, isipokuwa debit cards tu kwani wakiiba wanaiba kidogo masalio. Credit card mtu aki draw pound 9,000 si ndio balaa?
At 10:35pm on Ocktoba 13, 2009, MWINYI MPEKU [JINO 1] anasema…
mambo vp mzee nimepita kuwacha salam za baraka na furaha kwako na family mungu akujalie kila utendalo liwe jepesi siku njema
At 12:35pm on Ocktoba 13, 2009, Meshack maganga anasema…
mkuu ,,chuo kimenipoteza ila ninataka kufanya BOM -business oportunity Meeting hapa kijijini .nilikuwa busy sana .ila tupo pamoja
At 11:42am on Ocktoba 13, 2009, Furaha anasema…
hodii, nyumbani kwa mwenyekiti. Nimepita kukujulia hali.

stay blessed.

PAMOJAH
At 3:56pm on Ocktoba 12, 2009, CHA the Great anasema…
Me doing fine man
At 6:15pm on Ocktoba 7, 2009, Mama Malaika anasema…
Ukiweza tafuta vitabu hivi "Forbidden History" na kingine "Forbidden Science: From Ancient Technologies to Free Energy" by Douglas Kenyon. Hasa hiki kitabu chake cha pili "Forbidden Science" naona ndio kitakufaa sana. Hicho cha kwanza utakutana na zile monuments za DVD uliyopata na mengine mengi sana zaidi ya monuments. Mie nasubiri nimalize exams ndio nivisome zaidi... baba M anasema itabidi atengeneze chumba special for my books maana ndani mwake kumegeuka kama maktaba ya nyumbani kwa Winston Churchill.
At 10:47am on Ocktoba 7, 2009, Mama Malaika anasema…
At 3:25pm on Ocktoba 6, 2009, Omari Namanji anasema…
mzima
huko ulipo ndugu yangu
nakutakia safri njema
na kazi njema
baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dar es Salaam, Tanzania
Umri
28
Kazi Unayofanya
Mpiga Picha/Mwendesha Kijiji
Namba ya Simu ya Haraka
+255 713 223 345
Tovuti Yako:
http://photo4change.wordpress.com
Anuani ya Barua Pepe
babukadja@hotmail.com
Mahusiano:
In a Relationship
Jinsia
-kiume
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this social network on Ning.

Create your own social network!

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create Your Own Social Network

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter