kaka mambo vipi kwa niaba yako wewe mwenyewe na wadau wote naomba unisaidie kuweka likni hapa kijijin ya blog yangu maana kwa sas nipo ki-digtal zaidi www.maganmgam.blogsport.com
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 6:14pm on Novemba 17, 2009, CHA the Great anasema…
PamoJah
At 5:44pm on Novemba 17, 2009, CHA the Great anasema…
habari mwenyekiti, nimepita kujua hali yako kwema? jioni njema
At 8:54pm on Novemba 4, 2009, Mama Malaika anasema…
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi. EU wana mkakati kufikia 2020 wakazi wote wa EU kutumia umeme wa jua (solar power) ambao utakuwa unavunwa na big EU power companies kutoka barani Africa. Wana target to install large solar power plant huko north Africa kwani ni karibu na Spain. Sijui viongozi wetu bongo wanalo hilo? Nakumbuka Mwl. Nyerere aliwahi sema kila kitu tunacho lakini akili ya kutumia hatuna... wajanja toka magharibi wanakuja na kuondoka huku tunawaangalia tu kwa macho. Hii bishara ya mgao wa umeme isingekuwepo kabisa kwa jua tunalopata bongo.... 50% ya wafanyabiashara wa Dar es salaam wakiamua kutumia solar power, nakwambia wote serikali na TANESCO watashika adabu yao.
At 11:23am on Novemba 3, 2009, Mm eFrancia anasema…
Asante my love nepi nimepata naona EMS wako faster kwenye zawadi kama hizi.
Ya Eva aliniambia jana anashida na namba yako ila nawe umepotea sana mumewangu jamani hata mtoto wako hujui kama wa kike au wa kiume mmmhhhhhh. haya bwana mke mdogo na mkubwa wote tuna watoto wa kike. utapata kujua sasa hivi naitwa mama nani ngoja ni update profile.
NASHUKURU KWA KUNIKUMBUKA,WANGU NILIKUA LIKIZO YA MATERNITY NDIO NIMEANZA KAZI MWEZI ULIOPITA.WAAMBIE WADAU NALEA WASHINDWE ,WAAMBIE KUNA MJOMBA WAKO NDO KWANZA ANA MIEZI 5.HAHAHAHAHA,MAMBO MENGINE ?TUPO PAMOJA
MARIANA
Comment Wall (2,023 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu
www.maganmgam.blogsport.com
Amani kwako mkuu
2po pa1
Ya Eva aliniambia jana anashida na namba yako ila nawe umepotea sana mumewangu jamani hata mtoto wako hujui kama wa kike au wa kiume mmmhhhhhh. haya bwana mke mdogo na mkubwa wote tuna watoto wa kike. utapata kujua sasa hivi naitwa mama nani ngoja ni update profile.
Nakutakia siku njema.
MARIANA
Ona Maoni Yote