FotoBaraza.Net

Babukadja
  • 29, -kiume
  • Dar es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 

Marafiki wa Babukadja

Makundi ya Babukadja

Mijadala ya Babukadja

BBC

Loading feed

 

Macho Yangu Yameuona Utukufu wa Jah

Gifts Received

Gift

Babukadja has not received any gifts yet

Give Babukadja a Gift

Comment Wall (2,023 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 4:58pm on Novemba 20, 2009, Meshack maganga anasema…
kaka mambo vipi kwa niaba yako wewe mwenyewe na wadau wote naomba unisaidie kuweka likni hapa kijijin ya blog yangu maana kwa sas nipo ki-digtal zaidi
www.maganmgam.blogsport.com
At 9:33am on Novemba 20, 2009, Dixon anasema…
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 6:14pm on Novemba 17, 2009, CHA the Great anasema…
PamoJah
At 5:44pm on Novemba 17, 2009, CHA the Great anasema…
PamoJah
At 5:31pm on Novemba 11, 2009, Glory a.k.a momj anasema…
amani kwako! ucku mwema
At 6:39am on Novemba 11, 2009, Dismas anasema…
Kakaaaaaa! tumegombana nini? au ni kale kahela ninacho kudai ndo kanakufanya ucje kwangu hahahahaaaaaa.

Amani kwako mkuu
2po pa1
At 5:23pm on Novemba 10, 2009, Glory a.k.a momj anasema…
habari mwenyekiti, nimepita kujua hali yako kwema? jioni njema
At 8:54pm on Novemba 4, 2009, Mama Malaika anasema…
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi. EU wana mkakati kufikia 2020 wakazi wote wa EU kutumia umeme wa jua (solar power) ambao utakuwa unavunwa na big EU power companies kutoka barani Africa. Wana target to install large solar power plant huko north Africa kwani ni karibu na Spain. Sijui viongozi wetu bongo wanalo hilo? Nakumbuka Mwl. Nyerere aliwahi sema kila kitu tunacho lakini akili ya kutumia hatuna... wajanja toka magharibi wanakuja na kuondoka huku tunawaangalia tu kwa macho. Hii bishara ya mgao wa umeme isingekuwepo kabisa kwa jua tunalopata bongo.... 50% ya wafanyabiashara wa Dar es salaam wakiamua kutumia solar power, nakwambia wote serikali na TANESCO watashika adabu yao.
At 11:23am on Novemba 3, 2009, Mm eFrancia anasema…
Asante my love nepi nimepata naona EMS wako faster kwenye zawadi kama hizi.

Ya Eva aliniambia jana anashida na namba yako ila nawe umepotea sana mumewangu jamani hata mtoto wako hujui kama wa kike au wa kiume mmmhhhhhh. haya bwana mke mdogo na mkubwa wote tuna watoto wa kike. utapata kujua sasa hivi naitwa mama nani ngoja ni update profile.

Nakutakia siku njema.
At 12:41pm on Novemba 2, 2009, mariana anasema…
NASHUKURU KWA KUNIKUMBUKA,WANGU NILIKUA LIKIZO YA MATERNITY NDIO NIMEANZA KAZI MWEZI ULIOPITA.WAAMBIE WADAU NALEA WASHINDWE ,WAAMBIE KUNA MJOMBA WAKO NDO KWANZA ANA MIEZI 5.HAHAHAHAHA,MAMBO MENGINE ?TUPO PAMOJA
MARIANA

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dar es Salaam, Tanzania
Umri
28
Kazi Unayofanya
Mpiga Picha/Mwendesha Kijiji
Namba ya Simu ya Haraka
+255 713 223 345
Tovuti Yako:
http://photo4change.wordpress.com
Anuani ya Barua Pepe
babukadja@hotmail.com
Mahusiano:
In a Relationship
Jinsia
-kiume
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter