Hiyo inatokana na hormone disorder yaani ilipotinga ya kwanza haikuzuia ingine kutinga baada ya huyo mwanamama kuendele kujinafasi.zitakaa tu si kila moja na mfuko wake !!!
Wanaopenda mchezo huo kabla ya kusoma mjadala hadi mwisho naona walifikiria hivyo.Mi kabla ya kusoma hadi mwisho kidogo niondoke kijijini ,lakini huku ulipohitimisha nimekuelewa.Nawe kesha ukiomba na ufanye!!
Wanaopenda mchezo huo kabla ya kusoma mjadala hadi mwisho naona walifikiria hivyo.Mi kabla ya kusoma hadi mwisho kidogo niondoke kijijini ,lakini huku ulipohitimisha nimekuelewa.Nawe kesha ukiomba na ufanye!!
Asante kaka kwa comment zako, and yes ilikua ni siku moja tuu, walinikazanie nipake make up, sikuwahi kupaka tena na sijui kama nitapaka tena, Its just not my style!!, but ilikua nivizuri kuwashangaza watu. ha hahaa lol!!
Take care bro!
nice pix!!!! beach ya wapi hiyo?