Kwa mawazo yangu,
Faida zipo kama dada lucie ulivyosema unazijua, na hasara pia zipo kama unavyohitaji kutajiwa.
Ubaya wake ni kama, lazima utumie nyenzo mbadala wakati wa ......., kuna baadhi ya vitu ambayo ungepata kwa different sex ila hutapata s…
nashukuru kwa kupita kibarazani kwangu na salamu zako nimezipata ispokuwa kama ulivyoona tangazo la msiba hapa kijijini tulikuwa tunaomboleza msiba wa mwanakijiji mwenzetu marehemu Salim Zuze lakini tunashukuru tumemaliza salama.
na sasa napatikana kwa wingi tu hapa kijijini, usijali tupo pamoja.
nakutakia siku njema
Mtoto kwa kupotea wewe, utadhani meno ya kuku hahaahaaa.Ni aje Vicky, mimi cna blog wala website yoyote ya malavidavi. Ila nina kundi la malavidavi hapa fotobaraza. Kwani nani alikwambia nina website/blog ya malavidavi?