TENA TUSICHOKE KATIKA KUTENDA MEMA; MAANA TUTAVUNA KWA WAKATI WAKE, TUSIPOZIMIA ROHO. KWA HIYO KADIRI TUPATAVYO NAFASI NA TUWATENDEE WATU WOTE MEMA; NA HASA JAMAA YA WAAMINIO.
asante sana dadangu mpendwa kwa ujmbe wako mzuri. tupo salama twamskuru mungu ela sehemu nyingi zimeathirika na mafuriko na mvua bado yanyesha. have a nice day with lots of love and god bless you
At 1:29pm on Ocktoba 27, 2009, mujydebubyz anasema…
shukran kwa ujumbe wako dada sisi hatujambo hapa mombasa isipokuwa kumenyesha mvua kubwa sana ikaleta mafuriko lakini tuko salama. kuwa na wakati mwema dada bye