rushwa na hongo mlizopark kwa ajili yakutudanganyia mwaka huu thamani yake itashuka na kama nikupokelewa watapokea wale ambao Mungu hajawapitia na ss tuliotembelewa zote tutazikataa kumuachia Mungu kazi hiyo atatufanyia. ishini na AMANI .2010 MWAKA…
kufa kupona mwaka huu watu watakoma kiongozi anashushwa na Mungu ni nani mtakaemzulumu? Siku zote mnatusumbua vichwa na maneno spika nyimbo za masengenyo ya taarabu mnatupigia kwa Yesu hakuna hilo awamu hii Mungu ametusikiliza kiongozi bora atatucha…
WALE WOTE TUNAOPENDEZEWA NA JUHUDI ZINAZOFANYWA NA RAISI WETU WA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA KTK KUJENGA NCHI YETU BASI HAPA NDIO MAHALA PAKE PA KUTOA MAWAZO, PONGEZI NA USHAURI JUU YA MWENENDO WA SERIKALI YETU CHINI YA MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE