Tatzzo lip[o kote wananchi nao kila kitu wanachukulia poa hawataki kufanya kazi,watu wanasubiri hata vyoo wajengewe ,unategemea nini?watu hawaomi vitabu vyeney maarifa,watu wanapoteza muda kwa kuangalia tv masaa hata 8 kwasiku .they mind others bu...
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.