Aaaaah!!! Dr. Stiba pole sana kaka. Unajua mpira sio chenga tu. mpira ni mbinu. Oh mbinu zilizotumika sio za kisoka, yeye Wenger alidhani ujanja ni kuogelea? ujanja ni kuvuka mto, kuogelea ni mbinu mojawapo ya kuvuka mto. Kakutana na kisiki. Halafu…
Wadau nimewapata muda mwingi sn mlipokuwa mkijaribu kuwekana sawa kwny takwimu sahihi za wazee, nikianzia na dada Cherry, kiukweli ukilinganisha huko mlipo na Tanzania yetu km case study ya tatizo hili hautaweza kuupata uhalisia hata dakika !, sabab…
MKUU HUWEZI AMINI SIJAPATA HATA NAFASI YA KUINGIA KATIKA MTANDAO WA JAMII,NILIKUWA BZE ILE MBAYA KWA SASA NIMEHAMISHIWA TBC 1,KULE REDIO TBC FM NIMESHATOKA,NAONA COMMENT YAKO MUDA HUU MPAKA NAJILAUMU. SASA SIJUI TUPANGE VIPI???? NAMI NAINGIA SIKU ZOTE OFISINI LABDA WIKI END NAKUWA NUSU SIKU OFISINI.... TUZIDI KUWASILIANA MKUU WANGU......
nashangaa mkuu wangu hatuonani tangu siku ile ni muda umepita sana ila nashukuru unaendlea vizuri na majukumu ya kiofisi hata mimi nipo jujuu sana na hizi shughuli za kiserikali nadhani unafahamu vizuri,kaka tusitupane sana kiasi hicho hata mimi namba yangu ni 0717 422 668 au 0757 83 43 23 tuwasiliane kaka yangu nakutakia majukumu mema.