FotoBaraza.Net

Chaoga Tonge
  • 29, -kiume
  • dar es salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 

Marafiki wa Chaoga Tonge

Muziki

Inapandisha...

Makundi ya Chaoga Tonge

RSS

sherehe za uhuru day manchester, UK


Wadau wa Manchester, UK, wamejiandaa kusherehekea Uhuru wa Tanzania na Kenya Ijumaa tarehe 11/12/09 kwenye ukumbi wa Alter Ego ambayo iko hapa hapa Manchester.
Tiketi za hii sherehe sasa zinauzwa kwa £7.00 lakini pale mlangoni ticket zitauzwa kwa £10.00.

Sherehe itaanza saa 4 usiku ambapo chakula cha Kitanzania kitapikwa na kuuzwa kwa £5.00 kila sahani mpaka saa 6 za usiku na baada ya hapo take-away zitakuwepo kwa bei zaidi.

Ma-DJ kwa siku hiyo ni kama ifwatavyo:
★ DJ COLLO ( bongo flava,genge,kwaito,afro beatz )

★ DJ QUEST ( r n b,hip hop, mtalaamu wa bashment )

★ DJ MORRIS ( mtalaamu wa afro beatz )
TIKETI ZINAPATIKA KWA:

SHARIFF MOHAMMED: 07988356791

KARIBUNI SANA.....................

TRA yawashinda wenzao wa uganda

Golikipa wa timu ya Uganda Revenue Authority, Kaweesa Eddie akiruka juu kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo wa kimataifa dhidi ya TRA wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Tanzania ilishinda 1-0.

TBL yazindua tangazo la 'fikisha tanzania katika hatua ya juu'

Meneja masoko wa bia ya kilimanjaro, George Kavishe akizungumza wakati wa uzinduzi wa tangazo la biashara kwa njia ya televisheni lililotengenezwa na kampuni hiyo kupitia kampeni yake ya "Fikisha Tanzania katika hatua ya juu zaidi" uliofanyika jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo ulifanyika Trinity bar, Oysterbay, jijini Dar

libeneke la tasaba

Kaka Michuzi
Pole sana na kazi yako nzito yakutupa taarifa mbalimbali zinazotokea ulimwenguni na hasa nchini kwetu Tanzania.Kwa niaba ya TASABA chama cha wanafunzi watanzania waishio Bangalore India ninakuomba ututangazie blog yetu hii mpya ya:
TASABA.BLOGSPOT.COM
kwenye blog yako ili tuweze kuwafikia watanzania wenzetu mbalimbali wakiwemo wazazi,serikali na jamii nzima kwa ujumla ili waweze kupata taarifa ya mambo mbalimbali yanayoendelea India.Kufanikiwa kwa jambo hili itasaidia jumuiya hii kupiga hatua kubwa sana.
wako mtiifu
TASABA spokesman
Jumanne R Mtambalike

profesa ali mazrui katika mkutano wa nile basin

Profesa Ali Mazrui, akiwasilisha mada kuhusu masuala mbali mbali ya kijamii na kitamaduni ambayo nchi za Bonde la Nile (Nile Basin Countries), zinavyohusiana hususan katika suala zima la rasilimali za maji na matumizi yake wakati wa maadhimisho ya miaka 10 ya Ushirikiano wa nchi hizo, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya.
 

only the weak need to prove their power through force...!

Gifts Received

Gift

Chaoga Tonge has not received any gifts yet

Give Chaoga Tonge a Gift

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Nyie mmetoka chicha sana. Tukiachana na nyie, hebu nistulie huyo mdada mwenye pink. Mwambie kuwa amependeza sna.
yesterday
Hahahaaaaa yani li Chaoga linajifanya liboss balaa. Check lilivyo jiachia hahahaaaaa. Wewe dada mbona ulikuwa umekaa kwa heshima sana? Au ulikuwa unasubiri kufanyiwa interview? Mmetoka bomba sana
yesterday
Bosi Chaoga!
yesterday
Mmmmhhh!! kazi kweli kweli!!!
yesterday
Mie nasikilizia tuu
yesterday
Chaoga naomba kazi ya ukalani na ukolokoloni..
yesterday
Chaoga Tonge ameweka picha:
yesterday
ze shavuz........! inaonyesha chaoga ukiwa home huwa mpole sana.
on Monday

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dar es salaam
Umri
29
Kazi Unayofanya
biashara
Namba ya Simu ya Haraka
+255784260058
Tovuti Yako:
http://www.waukae.ning.com
Anuani ya Barua Pepe
chaoga27@gmail.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
-kiume

Picha za Chaoga Tonge

Inapandisha...

Chaoga Tonge's Blog

Chaoga Tonge

NYERERE SPEECH

Speech by the late Mwalimu Julius Nyerere

ADDRESS TO MEMBERS OF PARLIAMENT:
BY
MWALIMU JULIUS K. NYERERE

CAPE TOWN, 16 OCTOBER 1997

Mwalimu Julius K. Nyerere: Madam Speaker and, I think I may say, Comrade President and Comrade Vice President, ladies and gentlemen. I have told you already how I felt when you asked me to come and talk here. And then I got the message that you were coming. Of course, I am happy you are here, but what do I say in your presence in this House? This is not my fir
Continue

Posted on Julai 28, 2008 at 10:39am — 2 Comments

Comment Wall (617 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 8:50am on Desemba 3, 2009, Mgonzwa Manyere anasema…
asante mtani nilipotea kidogo, lakini mi mzima mafisadi hawajaua kabisa. tunahema bado
At 4:21pm on Desemba 1, 2009, Omari Namanji anasema…
tuna wanyima mvua tu kaka
nakutakia jion njema
baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
At 9:51pm on Novemba 27, 2009, IL-YA anasema…
DUH!! BWANA KAKA INAONEKANA UNATUMIA KINYWAJI FRESH !!! MAANA NILIVYOONA JINSI ULIVYOCHAFUA MEZA KWA KINYWAJI NADHANI ULISHINDWA HATA KUFIKA NYUMBANI SIKU HIYO!!
NDIO MAANA UZIDI KUNENEPA KILA SIKU!!!!
At 9:47pm on Novemba 27, 2009, IL-YA anasema…
BWANA KAKA MBONA UNTULEA WEZI KWA MTANDAOO HUU???? MAANA HAPA KUSHOTO NAMUONA MTU MWENYE NYWELE NYEUPE AKIMUELEKEZA MTU MWENYE NYWELE NYEUSI,MTU HUYU ANATAFUTWA TANZANIA KWA KOSA LA KUKIMBIA MADARAKA NA KUJIUZURU ILI ASIWEZE KUSHITAKIWA!!!!
KWA NINI ANAPEWA SIFA YA WAZIRI MKUU MSTAAFU WAKATI KAJIUZURU????? EEEEEE BWANA CHAOGA!!!KULIKONI!!!
At 9:41pm on Novemba 27, 2009, IL-YA anasema…
BWANA KAKAAAA,BILA SHAKA UNAENDELEA KUJAMBO!!!
KARIBUNI SANA HOME KWANGU AMANI IPO!!!
SISI NI WATU WA AMANI KAMA NUCLEAR YA IRAN!!!!
HI KWA WADA-SI-LAMU WOTE !!
At 3:24pm on Novemba 27, 2009, Leila anasema…

At 1:49pm on Novemba 27, 2009, Omari Namanji anasema…
mambo vipi kaka mzima wewe ?
At 10:48am on Novemba 23, 2009, Michuzi Jr anasema…
chalaaaamaaaa???
At 10:03am on Novemba 22, 2009, Mama Malaika anasema…
Chaoga... nimem bamba IL-YA na first wife wake kwenye picha. Namsubiria kibarazani hiyo siku akija.
At 9:31pm on Novemba 20, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante sana.. nimesha save. Salimia mwijukuu na Jamila
 
 

Besdei za Kuzaliwa

Wazaliwao Leo

Wazaliwao Kesho

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter