mambo vipi ndugu yangu habari za kwako????? mnatunyima nini huko??????
At 10:24pm on Septemba 19, 2009, Michuzi Jr anasema…
At 11:57am on Septemba 19, 2009, Omari Namanji anasema…
Dada lizy baby mambo vipi omari namanji arusha nime onanikusalimie mdau mwenzangu wa fotobaraza natumaini mzima wa afya njema nakutakia iddi njema na mchana mwema baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
At 10:34am on Septemba 17, 2009, Michuzi Jr anasema…
Bibie Liz swalamaaaaaa???
nimepita kukuachia salamu zangu za Idd hapa kwako maana nahisi naweza pata mualiko wa kuja kusherehekea siku kuu huko kwenu....
haha ahaha ahhaa ahhaa aha
PamoJah Dada.
At 3:23pm on Septemba 14, 2009, Ashley Tobias anasema…
weekend yangu ilikuwa nzuri na natumaini na yako pia ilikuwa kama yangu!
asante sana Liz tupo pamoja, nimefurahi kukutana na wanakijiji wakarimu kwakweli kama ulivyoniambia.