FotoBaraza.Net

Dr. Stiba
  • -kiume
  • Dar es salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 

Marafiki wa Dr. Stiba

Muziki

Inapandisha...

Makundi ya Dr. Stiba

 

Only Allah can Judge us!

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Twawatakia kila la kheri kwenye mkutano wenu, pia ripoti ya mkutano itolewe mapema ili iwe chachu kwetu pia.
on Thursday
Hii imekaa vizuri sana!
on Thursday
Novemba 24
Yaani umenikumbusha mbali sana kwa picha hii, maana ilikuwa ndo mitaa yangu hiyo, tulichimba sana visima vya maji upande huo, kuanzia Hongoro na kuendelea. Kongwa - Mpwapwa, yaani we acha tu! Asante sana kwa picha na nimefurahi sana!
Novemba 24
Pascal wala haujakosea, mshkaji tulikuwa nae cku ile ya mkutano wa Msasani Beach ambao RT alileta karanga. Mama Malaika we acha tu, nami nahic haruc itakuwa matata sana maana watu wameikamia mno, karibu nawe uje umpe mkono wa kheri mwanaFB mwenzet...
Novemba 23
Kweli mkwe, hatuna muda mrefu kina Denzel na Malaika wataanza kutulaumu kwa kutowawekea vitega uchumi vya kuja kuwasaidia ukubwani! Huko kuna ardhi ya bure kabisa, wakazi wa huko wamelala ucngizi mzito
Novemba 23
Karibu Pascal, itakuwa J1 ya Tarehe 28/11 hlf mi nina kadi 2 hazina wahudhuriaji! Istoshe ni mwanaFB mwenzio kwa hiyo itapendeza ukija kumuunga mkono.
Novemba 23
Mpe hongera, harusi ni lini nisogee kwenye mnuso?
Novemba 23

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dar es salaam
Umri
29
Kazi Unayofanya
Mkulima
Namba ya Simu ya Haraka
+255 22 787/768 111123
Tovuti Yako:
http://Under Construction
Anuani ya Barua Pepe
KisusiMoha922@fotobaraza.ning.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
-kiume

Picha za Dr. Stiba

Inapandisha...

Comment Wall (125 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 4:51am on Novemba 24, 2009, Ndekia anasema…
niambie mzazi wangu ishu zinaendaje????? nimeanza kujipendekeza kwenye idd sasa maana sikukuu umezoea kujitafunia peke yako............. msaada kwenye tuta...........
At 3:52pm on Novemba 23, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante kwa salamu. Mkwe mwenzio anafurahi sana kukuona ulivyolikamata tractor... anauliza aje akuunge mkono??
At 9:33pm on Novemba 22, 2009, Dunda anasema…
Dr mbona kimya vipi wagonjwa wamerkuwa wengi nini
haya mkuu nimepita kukusalimia
At 4:37pm on Novemba 17, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari yako? Natumai wote muwazima wa afya. Salimia mkwe wangu na mama yake
At 4:11am on Novemba 14, 2009, Sarah anasema…
Nakuona upo kaka haya usiku mwama kwangu na kwako ni asubuhi njema!
At 2:57pm on Novemba 13, 2009, Omari Namanji anasema…
mambo vipi aujambo wewe?
At 4:32pm on Novemba 11, 2009, CHA the Great anasema…
PamoJah
At 12:40am on Novemba 9, 2009, clara anasema…
my kaka mzima lakini?
At 6:42pm on Novemba 4, 2009, NSAJIGWA anasema…
U hali gani ndugu?
At 8:26am on Novemba 3, 2009, Alfan anasema…
Habari ya hapa mkuu?
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter