ANKOvipi za dar mi anko festo ila hii picha sio yangu usije ukazinguka bure siwezi kua mzee hivi bwana kwanza ndo nazidi kua kijana mana hata kuzaa nimeshamaliza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Asante pacha kwa sms yako ya kunikubali kuwa rafiki sasa nazani tutakuwa tunabadilishana mawazo. jamani pacha nafurahi pia kuona picha zako za arusi yako mi nasikitika kwani sijafunga ndoa bado. Yani nimeona wivu kweli.
huyu bwana ni rafiki yangu anko mimi ni anko festo tumeishi wote korogwe kwa anty SARA enzi hizo anawapelekesha wewe na yule dogo mwingine anaitwa nani vile? hata juzi weekend nilikua kwa kaka july korogwe na akina makay!hongera kwa kuolewa nisalimie jasmin