Hahahaaa ni maisha pia, ''maisha ni kujirusha unataka kuleta zako zip? maisha yenyewe ni mafupi ndani ya bongo'' hii imeibwa na Mr II aka II proud mfalme wa rymes ...tchao
MASTAA wa timu ya soka ya taifa Ivory Coast Jumamosi na Jumapili usiku walikuwa na wakati mgumu baada ya mademu wa Kibongo kuwaibukia wakiwa kwenye Hoteli ya Kempinski, jijini Dar es Salaam walikopiga kambi.
Ivory Coast, iliyowasili Jumamosi, ilich…