Hellow wanakijiji, kusema kweli me binafsi nimepotea kwenye kikao chetu cha kunywa bia, ila najisikia vibaya kuona ndani ya mtaa wetu tumewaachia Pascal na Vadonde peke yao wengine mko wapi jamani????? me naungana nao kwenye tarehe 16, na 19 sasa kw…
Pascal uko right kabisa halafu si lazima kutoa hela nyingi mhudumu ukimpa hata 200 yeye kwake anaridhika na huduma inakuwa bomba kinoma!!!!! kuacha tip si lazima uwe na kipato kikubwa bwana
Mambo dear,i hope ur duing great...wimbo wako umenikumbusha mbali sana.kweli tuvunje mifupa kama bado nguvu ipo...si unajua tena nchi ishauzwa!!!!!!!!!! juu....chini....juu...chini..asante....waaaa jamani...na jojina!!!!!!!!!!!!!! sipati usingiziiiiiiii!!!!!!!! wacha weeeeeeeeee!!!!!!!!!