FotoBaraza.Net

Hassan Nganzo
Shirikisha 
Twitter

Marafiki wa Hassan Nganzo

Muziki

Inapandisha...

Makundi ya Hassan Nganzo

 

Ukurasa wa Hassan Nganzo

Gifts Received

Gift

Hassan Nganzo has not received any gifts yet

Give Hassan Nganzo a Gift

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Mei 16, 2009

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Oslo,Norway
Umri
38
Tovuti Yako:
http://www.watanzaniaoslo.blogspot.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
Male

Picha za Hassan Nganzo

Inapandisha...

Comment Wall (19 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 8:20am on Julai 2, 2008, Hassan Nganzo anasema…
tulifika poa kwani ufunguo tulipata na mambo yakawa super.ntazuka sikumoja huko nije nirushe roho
At 11:18pm on Julai 1, 2008, tullah anasema…
kweli mtungi ulikolea jamaa yako alishindwa ata kukumbuka namba ya chumba, aliwaka sana kweli ilifurahisha mlitoka mida gani uko kwani hiyo saa moja jamaa alikuwa bado kachanganyikiwa hacheki wala halii, bali uchovu tu. Njoo once huku kwetu Stuttgart uone tunavyojua kujirusha kiutu uzima!!!
At 5:14pm on Juni 29, 2008, tullah anasema…
vipi wewe ulifika salama, na vipi yule jamaa wa holand anaendeleaje, Essen hapakutosha kwani nilikuta mtu kalala kwenye lobi ya hotel, wiski imekolea!!! safi sana, I hope yule mtoto wa stuttgart atanipigia na tutaonana viwanja vya uko.
At 12:07pm on Juni 29, 2008, Young anasema…
nilipita kukusalimu na kukukaribisha ktk mfuko wa wanafotobaraza wa yatima wetu na kuwepo kwako kutafanikisha malengo yetu karibu sana,nakutakia siku njema
At 7:53pm on Juni 16, 2008, milya anasema…
zasiku kakaa upo?sijakuona muda leo nimekuona kwajirani upo na dogo mnapokea wageni,wasalimie wifi na mtoto siku njema!tunategemea picha nyingi!
At 5:06am on Juni 15, 2008, Evacindy anasema…
Happy Fathers day!!!!
I hope you had fun!!!!!!!!
At 5:49pm on Mei 25, 2008, Nashe anasema…
wangu vipi mishe mishe?
At 9:11pm on Mei 14, 2008, Haki Ngowi anasema…
Usijali Mkuu tupo pamojaa,,ah sawa kabisa si unajua tena bongo kila kitu slow.. we akipata tu visa nitonye tuweke manenooo..
At 9:04pm on Mei 14, 2008, Haki Ngowi anasema…
Bila shaka mkuu,marekebisho pale Tayari..
At 8:54pm on Mei 14, 2008, Haki Ngowi anasema…
Mkuu mambo ya kichanganya, leteni Tangazo pale kwangu
ntawapa bei nafuu kabisaaa...hehe
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter