Spot on!
leo nilikuwa namwambia hivo hivo mama yenu(my girl).
Haiwezekani wao wawe na siku ya kuandamana kudai haki zao wakati sisi full time tunahangaika kusaka mahela ya kuendesha familia.Inatakiwa itengwe siku yetu ya kukaa sehem tofauti na bar a…
Kimya sna we upo jamni
haya karibu wali kwa mrenda hihiihi
sikunjema
At 11:48pm on Januari 15, 2009, Babukadja anasema…
Jipe moyo mtu wangu, huu mwaka wetu huu. Mwezi wa kwanza siku zote huwa kidogo unakuwa tasa katika suala la uchumi ila ukiunganisha na hili janga la upungufu wa mafuta jijini ndo unausikilizia mkong'oto wa maisha vizur zaidi.
Kiburi cha wauza mafuta wamepewa na serikali kwa hivyo ni serikali pekee yenye uwezo wa kurekebisha hilo, cha ajabu ni kwamba wanachukua muda sana kudili na hiyo kesi.
ni nyumbani kwa mwalimu wetu wa Kiswahili, si mbali na Moscow. bustani na nyumba zote mbili wamepanga pamoja na mumewe.
Hali ya hewa ni 20C sasa! Vipi Dar?
Hakuna matata! what a wonderful phrase!
Hakuna matata!aAin't no passing craze.
It means no worries for the rest of your days,
it's our problem-free philosophy
Hakuna matata!.
Karibu sana katika kijii