..................................Ramadhani njema............tufunge kama alivyoamlisha mungu .....................nawatakia ndoa njema ya ramadhani ya kukumbukwa...........................
'''''''
Kila mara Mungu wetu ni mwema sana haswaa katika kuwajaalia waja wake wakiwa wana nia njema za kutekeleza yale aliyoamrisha, kaka jambo ulilolifanya linastahili pongezi za kutosha, kikubwa nnachowaombeeni ni upendo, amani, furaha na afya njema inshaallah Allah atailinda ndoa yenu na kuwalinda nanyi pia.
Mashaallaah brother, usiache kumshukuru Allah kwa kila neema anayowajaalia, na usisahau hata dkk 1 kumuomba hata kama una kila kitu!
Mdumu katika ibada kwa kufata aliyoamrisha na kuacha makatazo yote.
Shaabani kareem.
At 4:08pm on Agosti 8, 2009, Mama Malaika anasema…
Nawatakieni baraka zote na Mola awabariki. Inshallah
At 11:31am on Agosti 8, 2009, Mtoto mzuri anasema…
FOR THE LOVELY COUPLE: ISMAIL AND HALIMA
You choose to share your lives
Together in matrimony
With God as your guide
Always share together
The experiences of life
Through all the ups and downs
Walk together, side by side
Communicate your love
In unselfish ways
Sharing every moment
Beyond your wedding day. WISH YOU ALL THE BEST IN YOUR MARRIAGE