David usijali bwana kama wewe sio Pasco basi dont worry just tuendelee na mambo yetu.
Mimi mara ya mwisho nilikuwa Marangu pasaka yaani mwezi wa tatu mwishoni baba
wewe mbona unamaneno sana mtu akikataa kurudi kwao namuona kapungukiwa akili,
mimi ni mchaga wa Marangu ila nimelelewa Arusha maeneo ya njiro nanenane. hao rafiki zako waambie sorry kama wewe hutokuja bora wasije maana hawana mwenyeji wakuwapokea mm ntajitokeza ww ukija upo! kwani unaogopa nini ? au haupo makini mana unasafiri kwa meli siyo kwakuogelea mtu hukumbwa na mapapa na manyangumi mwenyewe akitaka tena kwa tahadhari tu naomba uje na wifi yangu mana huku siyo salama kabisa nkya. idadi ya wazuri ndo idadi ya virusi sawa? KARIBU ZANZIBAR
Kuanzia mwezi wa saba mpaka wa kumi na mbili. unataka kututembelea nini? ukija unitaarifu kabisa nikupikie chakula chakiarusha. Sawa!!!!! mimi nipo salama na kazi il pole kwakibarua chako kigumu chakutaka Tanzania kuwa kijiji. mpoto aliimba anataka nauli aende kwa mjomba akamnongoneze kuhusu mafisadi nauli katumiwa mpaka leo analalamika anadharura hawezi fika unataka kufa nikukose? Shauri yako!!!!!!!!!!!!!!! kazi ngumu hiyo mjombaaaaaaaa!!!!!
ndiyo naishi Zanzibar wewe unaishi wapi?
Nadhani umejisajili kama mwanafunzi unasomea nini na chuogani?
mimi ni mfanyakazi nimeanza kazi miezi 5 iliyopita tu na ninafanya kazi ya tours consultant. lete story
habari ,nyingine vipi?
Comment Wall (15 comments)
Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!
Jiunge na mtandao jamii huu
Mimi mara ya mwisho nilikuwa Marangu pasaka yaani mwezi wa tatu mwishoni baba
mimi ni mchaga wa Marangu ila nimelelewa Arusha maeneo ya njiro nanenane. hao rafiki zako waambie sorry kama wewe hutokuja bora wasije maana hawana mwenyeji wakuwapokea mm ntajitokeza ww ukija upo! kwani unaogopa nini ? au haupo makini mana unasafiri kwa meli siyo kwakuogelea mtu hukumbwa na mapapa na manyangumi mwenyewe akitaka tena kwa tahadhari tu naomba uje na wifi yangu mana huku siyo salama kabisa nkya. idadi ya wazuri ndo idadi ya virusi sawa? KARIBU ZANZIBAR
Nadhani umejisajili kama mwanafunzi unasomea nini na chuogani?
mimi ni mfanyakazi nimeanza kazi miezi 5 iliyopita tu na ninafanya kazi ya tours consultant. lete story
habari ,nyingine vipi?
Ona Maoni Yote