FotoBaraza.Net

Ukurasa wa Dada

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

Ifahamu Quran, ni kitabu chenye jumla ya: SURA 114 AYA 6236 na idadi ya kila herufi katika Quran ni; ALIF 40792; BEE 1140; TEE 1299; THEE 1291; JIIM 3293; HEE 9997; KHEE 2419; DAAL 10903; DHAAL 4840; REE 10903; ZEE 9583; SIIN 4091; SHIIN 20133; SWAD…
saa 1 iliyopita
Dada left a comment for c
saa 1 iliyopita
Waaleykum salaam sheikh, nakushukuru kwa kutukumbusha kutenda mema na inshallah nitawakumbusha wengine katika kumcha Allah (SW). Wasalaam
masaa 3 yaliyopita
Dada joined damnan's group
ASALAM ALAIKUM. ukumbi huu ni wa kukumbushana na kuelimishanamaswala ya duniani na kesho akhera zaidi ni kumkumbuka maulana na mtu yoyote anakaribiswa kujiunga awe muislamu au si muislam bora tuwe na maoni ya amani karibuni
masaa 3 yaliyopita
Nawashukuru wadau woote waliopata mwaliko wangu. Pia kwa wale eote walioweza na wasioweza kufika kwa sababu mbalimbali nawashukuru sana. Nawashukuru pia wale wote wanaotoa comments mbalimbali zikiwemo za pongezi na wale wanaoendelea kulaani kwa nini…
masaa 3 yaliyopita
Nampa pole mama mzazi na familia nzima ya Mabagala kwa kuondokewa na kipenzi chao. Sisi tulimpenda ila Mwenyezi Mungu amempenda zaidi. May the soul of our loved son rest in eternal peace Amen.
masaa 3 yaliyopita
Ooooh yea, safi sana. Issa nakuona upo na mama.
masaa 18 yaliyopita
c left a comment for Dada
yesterday

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dodoma
Umri
33
Kazi Unayofanya
Mjasiriamali
Namba ya Simu ya Haraka
+255 713 247461
Anuani ya Barua Pepe
amaniyangudom@yahoo.com
Mahusiano:
In a Relationship
Jinsia
-kike

Picha za Dada

Inapandisha...

Comment Wall (110 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 7:38pm on Desemba 8, 2009, c anasema…
mzima dada? uwe na siku njema
At 7:16am on Desemba 4, 2009, Mabagala anasema…
Mimi mzima dada, tunaendelea kulisukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania visiwani na Tanzania yote kwa ujumla. Ijumaa njema
At 6:11pm on Novemba 19, 2009, CHA the Great anasema…

Mi napita tu kukujulia hali.

Amani iwe nawe.
At 9:05pm on Novemba 18, 2009, Michuzi Jr anasema…
huku poa tu,sijui huko Dom?
At 5:35pm on Novemba 17, 2009, CHA the Great anasema…
She Car More!
At 3:56pm on Novemba 17, 2009, Michuzi Jr anasema…
Mambo vipi wewe Dada wa kike??
At 3:40pm on Novemba 17, 2009, Simon Kitururu anasema…
Wasalaam! Mie sijambo na nakutakia siku njema!
At 7:30am on Novemba 17, 2009, Dismas anasema…
Eti mtabili wangu kaniambia nitakuwa hv nikizeeka.

At 7:08am on Novemba 17, 2009, Dismas anasema…
Acha maneno yako wewe mdada wa Chang'ombe. Hebu naomba namba ya cm ya yule mdogo wako mzuriiiiiiiii. Nataka niwe namfundisha k........lea hahahaahaaa. Ole wako ulopoke, nitakuchinja hahahhaaaaaa. Halafu nikija Dodoma utakuwa unanipa lift kwenye ile gari yako?

2po pa1 mdada
At 12:55pm on Novemba 15, 2009, Dismas anasema…
Hahahahaaaaa wewe mdada ni noma. Huo wimbo tumeuimba leo kanisani, au ulikuja kupiga chabo ukatuckia tunavyoimba hahahaaa.

2po pa1 mdada
 
 

Besdei za Kuzaliwa

Wazaliwao Leo

Wazaliwao Kesho

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter