Ifahamu Quran, ni kitabu chenye jumla ya:
SURA 114
AYA 6236 na idadi ya kila herufi katika Quran ni;
ALIF 40792;
BEE 1140;
TEE 1299;
THEE 1291;
JIIM 3293;
HEE 9997;
KHEE 2419;
DAAL 10903;
DHAAL 4840;
REE 10903;
ZEE 9583;
SIIN 4091;
SHIIN 20133;
SWAD…
ASALAM ALAIKUM. ukumbi huu ni wa kukumbushana na kuelimishanamaswala ya duniani na kesho akhera zaidi ni kumkumbuka maulana na mtu yoyote anakaribiswa kujiunga awe muislamu au si muislam bora tuwe na maoni ya amani karibuni
Nawashukuru wadau woote waliopata mwaliko wangu. Pia kwa wale eote walioweza na wasioweza kufika kwa sababu mbalimbali nawashukuru sana. Nawashukuru pia wale wote wanaotoa comments mbalimbali zikiwemo za pongezi na wale wanaoendelea kulaani kwa nini…
Nampa pole mama mzazi na familia nzima ya Mabagala kwa kuondokewa na kipenzi chao. Sisi tulimpenda ila Mwenyezi Mungu amempenda zaidi. May the soul of our loved son rest in eternal peace Amen.
Acha maneno yako wewe mdada wa Chang'ombe. Hebu naomba namba ya cm ya yule mdogo wako mzuriiiiiiiii. Nataka niwe namfundisha k........lea hahahaahaaa. Ole wako ulopoke, nitakuchinja hahahhaaaaaa. Halafu nikija Dodoma utakuwa unanipa lift kwenye ile gari yako?