FotoBaraza.Net

CHA the Great
  • -kiume
  • Dar Es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Niko Hewani Sasa
Shirikisha 

Marafiki wa CHA the Great

Muziki

Inapandisha...

Makundi ya CHA the Great

 

HUMBLE YOURSELF IN THE SIGHT OF THE LORD AND HE WILL LIFT YOU UP!

Gifts Received

Gift

CHA the Great has not received any gifts yet

Give CHA the Great a Gift

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

CHA the Great added a discussion
Amani iwe nanyi wote. Ni mwezi wa 11 na zimebaki siku chache kuweza kukamilika kwa mwaka huu wa 2009. Kuna mengi yaliyotokea katika dunia hii, ya kusikitisha, kufurahisha na kukera au kushangaza. Wewe ni mambo gani yaliyokukera, kufurahisha au ku...
dakika 6 zilizopita
dakika 11 zilizopita
Nimekupata Mkuu Stiba, lengo la wanakijiji kukutana ni kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu kijiji ili kuona ni namna gani tunaweza kuyatafutia ufumbuzi. Tatizo Watanzania wote tumekuwa wanasiasa, tunaongea sana lakini vitendo hakuna. Kuna mamb...
dakika 29 zilizopita
Ni kweli STiba, nafuatilia.
saa 1 iliyopita
Afadhali yako wewe umekumbuka kutoa sala kwa ajili ya kijiji na wanakijiji, na mimi naongezea kwa kusema wote wanaotazama kijiji hiki kwa jicho la husda, nguvu ya Mungu iwavunjilie mbali na wapasuke vipandevipande. PamoJah tutakuwa Imara, na haku...
saa 1 iliyopita
ANGEL NEHEMIAH and CHA the Great are now friends
saa 1 iliyopita
masaa 5 yaliyopita
Karibuni jamani
masaa 6 yaliyopita
aaaaaaaah PAMOJAH!
masaa 23 yaliyopita
yesterday
Lecturer Magere naomba urejee Mjadala wa tarehe Septemba 27, 2009 katika 2:51pm, ulioanzishwa na Michuzi Jr. Nasema hivyo kwa sababu mjadala ule ndio matokeo ya Tarehe 7/11/2009. Nafikiri tatizo hapa ni kugusia siku ya tarehe hiyo niliyotaja, ndio...
yesterday
Inaonesha Lucie unalipenda sana, unalijali sana ua hili na unalitunza sana. Tehe tehe, maana limepandwa mda mrefu sana.
yesterday
Mh...basi Lucie umefurahiii.
yesterday
Most people smoke *****just for furaha, but true rasta uses it as a sacrament
yesterday
Hakika nawaambieni kikombe hiki....
yesterday
Huyu nani tena Araway?
yesterday
Karibu Wence ndani ya PamoJah
yesterday
yesterday
Ha ha ha ha ha umenifurahisha sana Stiba kwa kutaja jina la RAGGA MUFFIN, i like that. Whata gwan man!
yesterday
Terehe 7/11/2009 kwa ninavyoelewa ilikuwa ni siku ya kukutana na kufurahi pamoja. Na hata ukisoma maelezo ya mjadala wa 27, September, 2009 katika 2:51pm wenye kichwa cha habari "SWALI KWA WANAKJIJI WOOTE" ulioanzishwa na Michuzi Jr, ulikuwa unaul...
yesterday

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
AFRICA
Umri
OLD ENOUGH TO RULE THE WORLD
Kazi Unayofanya
******
Namba ya Simu ya Haraka
+255 655 822 269
Tovuti Yako:
http://www.fotobaraza.ning.com/group/pamojah
Anuani ya Barua Pepe
charlztworld@yahoo.com
Mahusiano:
In a Relationship
Jinsia
-kiume

Picha za CHA the Great

Inapandisha...

Comment Wall (589 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 12:03pm on Novemba 12, 2009, Furaha anasema…
Hellow, za kwako charles, nasikia kuna pamoja za yellow, vipi mimi sipati?

PAMOJA
At 7:48am on Novemba 11, 2009, Mabagala anasema…
... we are sinking, naona story imekutouch sana ile. hahahaaa. PamoJah Man
At 6:53am on Novemba 11, 2009, Ritha T anasema…
ntakusikilizia
At 7:43pm on Novemba 10, 2009, Mama Malaika anasema…
Posuta!!
At 1:25pm on Novemba 10, 2009, Mm eFrancia anasema…
Uko nchi gani vile siku hizi naona hiyo nchi mawasiliano na ndugu zako yanayeyuka mmh rudi tu nchi yetu ya fotobaraza huku net iko bomba.

nakutakia siku njema.
At 5:50pm on Novemba 7, 2009, cherry anasema…
Pa1 ndugu yangu,vp mambo na maendeleo???Nakutakia W'End njema.
At 9:21am on Novemba 7, 2009, Mabagala anasema…
PamoJah kaka. See u soon
At 11:43pm on Novemba 6, 2009, Vadonde anasema…


Hhehhe karibu tuendelee na safari nanihii lol wknd njema!!!
At 6:00pm on Novemba 6, 2009, NSAJIGWA anasema…
Amani kwako
At 12:50am on Novemba 5, 2009, Dunda anasema…
Amanai hapa
At 12:35pm on Novemba 4, 2009, Lucie wa mama anasema…
Mamboz, natumai uko powa
At 10:50am on Novemba 4, 2009, Jacqueline anasema…
THNX MKAKA, DAIMA MILELE.
At 7:38am on Novemba 4, 2009, Ritha T anasema…
thanx
ila mwana unahadimika
At 6:43pm on Novemba 3, 2009, Erick anasema…
PamoJah man
At 11:33am on Novemba 3, 2009, Alfan anasema…
Kaka mzima wewe?
At 8:11am on Novemba 3, 2009, Michuzi Jr anasema…
kwema pande hii??
At 7:03pm on Novemba 2, 2009, Don Magere anasema…
Pamojah mkuu wangu CHA:
vipi habari za mizunguko yako ya maisha zikoje?
Shukurani kwa kunitembelea.
At 7:10am on Novemba 2, 2009, Dismas anasema…
Hamna noma mkuu, 2po pa1. Msalimie mke wako hahahaaaa. Amani kwako.
At 4:28pm on Ocktoba 30, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari ya wewe? Sie wazima ila kazi zimekata sana...natumai nawe wasukuma bila shida.

One Love!!
At 3:41pm on Ocktoba 28, 2009, Omari Namanji anasema…
mambo vipi man wangu mzima wewe
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this social network on Ning.

Create your own social network!

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create Your Own Social Network

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter