Jana nilikuwa sehemu na marafiki zangu na tulikuwa tukiongelea maisha ya ndoa. Rafki yangu mmoja alisimulia mkasa huu ufuatao ambao ni wa kweli.
Bwana mmoja, tajiri kweli kweli, mwenyeji wa Rombo, Moshi, mwenye maskani yake Dar alioa mke wake ambay…
Mh jamani mama huyu sijui nimfananishe na nyumbu? maana nyumbu anakula hadi kumaliza halafu anahamia pengine kutafuta. Ama kweli mtaka yote na saba humpata msiba iko siku ataumbuka. Kitu cha kufanya watoto hawa waende kwenye huduma ya maombi wakamuo…
At 11:40am on Desemba 3, 2009, Mama Malaika anasema…
Ha haaa... umenichekesha uliposema mzee Sokomoko. Ujue wengine wanaimba hata havieleweki. Ha haaaa
Thanks for photo comments. Ni kweli tumetoka mbali sana, Mabagala alikuwa aniomba niweke picha nilipokuwa mdogo. Ha haa.
Ile picha ya nyumba ya mzungu ni kule Morogoro unapoelekea Mikumi, nje kidogo ya Barabara kuu kuelekea Iringa. Jamaa analima matunda na mboga mboga mwaka mzima, anafuga pia kuanzia kuku wa kienyeji, mbuzi hadi ng'ombe. Yani pale keshafika na alituambia hataki tena kurudi kwao UK. Ujue hilo ndio fundisho kwetu watanzania, if you work hard and you're creative life is so cheap.
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 11:59am on Ocktoba 1, 2009, Mama Malaika anasema…
Asante sana kwa salamu. Habari ya hapa lakini? Huku kwetu kibaridi ndio kina beep... muda sio mrefu naja unipatie ingalau kimbo mbili nijisikie.. LOL....
Habari ya kazi na family kwa ujumla?
Asante sana kwa salamu, za Domnadhani zitakuwa nzuri ,Sipo Dom nimesha rudi Ugerumani.
Basi ninakutakia siku njema
At 10:28am on Septemba 30, 2009, Astol Mwangomo anasema…
ok .kumbe ulisha kaaa MIYUJI,Ninafahamu kidogo miyuji.
Napenda Doma kumetulia hakuna Foleni za magari wala uizi wa simu ni Amani tu.ni foleni zu Bank kidogo zina maudhi yake.
siku njema