Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 3:24pm on Novemba 13, 2009, Omari Namanji anasema…
mambo vipi mzima wewe?
mimi mzima wa afya njema
nakutakia jioni njema
baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii