FotoBaraza.Net

Alfan
  • -kiume
  • Dar es Salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Shirikisha 

Marafiki wa Alfan

Muziki

Inapandisha...
 

KEEP ON SMILING! Appreciate every single thing you have, especially your friends! 'Life is too short and friends are too few.'

Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita

on Saturday
Mabagala umekosea, sio nyengine... ni Zingine!!!!!
on Friday
Huyo sio JK na Mama SK??
on Thursday
Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu na akitaka kitu anakiambia kuwa kinakuwa! TUTKUFU NI WAKE PEKEE!
on Thursday

Wasifu Wangu

Uko Wapi?
Dar es Salaam
Umri
29
Kazi Unayofanya
IT
Namba ya Simu ya Haraka
0713096220
Tovuti Yako:
http://fotobaraza.net
Anuani ya Barua Pepe
alfanmlali@ymail.com
Mahusiano:
Married
Jinsia
-kiume

Picha za Alfan

Inapandisha...

Comment Wall (742 comments)

Unahitaji kuwa mdau wa FotoBaraza.Net kuweka maoni!

Jiunge na mtandao jamii huu

At 3:32pm on Novemba 28, 2009, Wence Wandi anasema…
npo poa mshkaj vpi wwe
At 4:04pm on Novemba 26, 2009, Astol Mwangomo anasema…
Jamani mkaka Mzima wewe Lakini?mimi ni mzima,mambo yanakwendaje,
Asante kwa salamu.Nimefurahi sana kukusikia.
At 7:19am on Novemba 26, 2009, Mabagala anasema…
Mkuu asante kwa salamu, natumai nawe umzima bukheri wa afya. hofu na mashaka ni juu yako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Lengo la waraka huu ni kutaka kukujulia hali na kukutakia siku njema yenye baraka na fanaka tele. Pia usisahau kunywa Malta Guiness au Vita Malta, kama ni ya kopo basi jitahidi uwe unakunywa kwenye glasi, maana hayo makopo wakati mwengine yanakuwa na kemikali hatari sana ambayo itapunguza umri wako wa kuishi.
At 7:05am on Novemba 26, 2009, Dismas anasema…
Ndomaana kuku wangu walikuwa hawapungui bandani, kumbe ulictisha kuja kwangu kwa muda. Sasa jogoo langu lile kubwa silioni tena baada ya ww kupita jana hahaahahaaa. Amani kwako mkuu, msalimie mkeo.
At 2:05pm on Novemba 25, 2009, Don Magere anasema…
Umenichelesha sana na saaamu zako za giza.Umesahu umemi wa "Black is beauty?" namia nongezea dark is beauty!
mzima kabisa lakini na familia yako?
siku njema nakutakia.
At 12:56pm on Novemba 25, 2009, ismail shemngodo anasema…
......hllw bro!!!!...nishakaribia!!!1
At 9:32am on Novemba 20, 2009, Dixon anasema…
Salamu zangu kwako, Nimuda sasa toka nimepita kijiji hiki. Siku hizi nimekuwa mkulima hahahaaa, shamba kwa sana mpaka msim uishe ndiyo naonekana kijijini. yote heri naona wote mu wazima. Nimefurahi kupita hapa na kukujulia hali. Tupo pamoja. Siku njema.
At 4:31pm on Novemba 17, 2009, Mama Malaika anasema…
Habari ya siku tele? Nimepita kuacha baraka
At 10:12am on Novemba 17, 2009, ladymwana anasema…
hiiiiiiii,

mzima ww? baby hajambo? mpe hi sana

siku njema kaka.
At 1:56pm on Novemba 14, 2009, Dismas anasema…
Hahahahahaaaaa hv we jamaa kwa nn uliamua kukaa nyuma ya huyo binti ulipopiga nae picha? Kwa nn uckae mbele yake, halafu yeye ndo akae nyuma yako? Halafu ukamsogeza karibu yako saaaana (zero distance), huku unahema juu juu hahahaaaaa. Ww ni naomaa.
http://fotobaraza.ning.com/photo/alfan-kweli-ulikuwa-kubwa-la?context=latest

Ona na huyo Fataki mwenzako, na yeye kakaa nyuma yake.
http://fotobaraza.ning.com/photo/na-mimi-nilipata-picha-moja-na?context=latest
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter