hello brazer vipi mbona kimya mtu wangu hata kujuliana hali acha hizo basi tuwe na umoja mtu wangu big up!!! usiwe kimya sana basi broo ok! "KILIMANJARO"
Asante bro, lakini biashara lazima niwe huko, sijui hata duka likoje sasa hivi, walishaniibia sana ndio maana nina mpango wa kuja huko ili niweze kupanga mwenyewe!!
Asante kwa kuwa pamoja, and yes endelea kutesa!!
Yes lakini mimi nauza zaidi za watoto, ninazo za watu wazima chache but mlango wa pili kuna duka la dada yangu yeye anauza nguo za watu wazima!!
We endelea kutesa tuu lol ha ha ha haa!!