FotoBaraza.Net

Tukiwa tunamalizia form 4 Thaqaafa Secondary, anaeonekana kwa mbali upande wa kushoto anaitwa Hamis Mtingwa, then waliosimama kuanzi kushoto ni Saidi Mo'd, Hafsa Moh'd, Nuru Moh'd, Kisusi Moh'd, Zubeda Mikidadi, nimemsahau, Abdul Moh'd na Habiba Athumani. Waliochuchumaa kushoto ni Hajji Moshi na kulia ni Jumanne Mussa. Aliyekaa kwenye kiti ni mudiru wetu anaitwa Mussa Kondo.

Rating: 0/5 stars
Albamu: Enzi na enzi!
Imeonwa: 44

Shirikisha  Twitter

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa FotoBaraza.Net ili Kuweka Maoni

Jiunge na mtandao jamii huu

Kisusi Maoni na Kisusi saa Novemba 10, 2009 3:20pm
Ndio Mama Malaika, sisi ni vijana wa Mkapa!
Mama Malaika Maoni na Mama Malaika saa Novemba 10, 2009 3:11pm
Asante sana kunifahamisha Dr Stiba, kumbe wewe umemaliza shule kipindi cha Mkapa.
Kisusi Maoni na Kisusi saa Novemba 10, 2009 8:46am
Kaka Cha we acha tu, tena ukizingatia wapo ndani ya hijabu basi ni joto kwa kwenda mbele, hiyo ilikuwa mnamo mwaka 1997!
CHA the Great Maoni na CHA the Great saa Novemba 9, 2009 4:41pm
Dr. Stiba nakuoana.....naona unapata joto karibu na vimwana. Hii ni mwka gani mkuu?

PamoJah
Kisusi Maoni na Kisusi saa Novemba 9, 2009 3:56pm
Maalim Dunda nakuaminia, ila mimi nipo kwa nyuma ya hao warembo hapo, naonekana meno tu! Huyo aliyekaa anaefanana na Maalim Dunda anaitwa Mussa Kondo.
Dunda Maoni na Dunda saa Novemba 9, 2009 3:53pm
Tumekupata Dr ulivyotulia kama Maalim Dunda alipokuwa na wanafunzi wa Madrasa
Kisusi Maoni na Kisusi saa Novemba 9, 2009 3:47pm
Kaka Magere nashukuru kwa maoni yako.

Mama Malaika umefananisha na hiyo ya Temeke, hii ni ya Mwanza, ile ya Temeke ilishabadilishwa jina siku hizi inaitwa Temeke Muslim!
Mama Malaika Maoni na Mama Malaika saa Novemba 9, 2009 2:32pm
Dr Stiba... hiyo shule Thaqaafa Sec school haiko wilayani Temeke? Au nimeifananisha?
Don Magere Maoni na Don Magere saa Novemba 9, 2009 1:19pm
Nimekupata Dr.Stiba
sasa inasound vizuri!maana hapo bado mlikuwa hamna frofession bado.
Kisusi Maoni na Kisusi saa Novemba 9, 2009 1:03pm
Tafsiri sahihi ya "Colleague" ni "a person with whom one is associated in a profession or occupation" si lazima awe mfanyakazi mwenzio!

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter