Nooo! We Lucie wacha mambo hayo! Jamani kama huu si ukatili ni nini lakini? Yule mbwa ulimfunga "chain" fupi. Huyu "mbuzi wako" nae una mning'iniza hivi. We jaribu kujiuliza kama wakikutundika hivi utajisikiaje? Kama amekula maua yako na una uhakika basi chukua uamuzi wa busara si kumtesa hivi. Hii wahusika wanaita "animal cruelty" wakiiona picha hii watakutafuta! Uzuri wako Lucie hauandamani na kitendo hiki bibie! Have fun but dont be cruel! Hugs!
Lazima Uwe Mdau wa FotoBaraza.Net ili Kuweka Maoni
Jiunge na mtandao jamii huu