FotoBaraza.Net

Rating: 0/5 stars
Imeonwa: 97

Shirikisha  Twitter

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa FotoBaraza.Net ili Kuweka Maoni

Jiunge na mtandao jamii huu

Oswald Jonh Akyoo Maoni na Oswald Jonh Akyoo saa Desemba 3, 2009 7:37pm
Kwanini mlipendeza hivi!!! halafu bwana kwa vikao vya siri!!! wewe si mchezo!! demu yupo makini sana!
Mama Malaika Maoni na Mama Malaika saa Novemba 13, 2009 12:57am
100 stamped!! Mmependeza sana
araway Maoni na araway saa Novemba 12, 2009 4:37pm
furaha minaona bado napata wakati mgumu kuamua kati yake na wewe hahaha!
araway Maoni na araway saa Novemba 12, 2009 4:36pm
dismas tafaadhali mkuu usipite mitaa yake na baiskeli yako sababu sikuamoni hata chembe, chaoga umenifurahisha mkuu two dayz umekaa nacho kitu hukioni hahaha byanaku anaulizia ulipomuacha yule abiria akija tena umwonyeshe njia!
cool Maoni na cool saa Novemba 12, 2009 3:59pm
jamani mdada mzuri hongera my kaka
Furaha Maoni na Furaha saa Novemba 12, 2009 12:09pm
Wow, hapo kaka sina la kuongeza. BIG UP
Chaoga Tonge Maoni na Chaoga Tonge saa Novemba 12, 2009 7:39am
mkuu hapa sasa ndio namuona vizuri, siku ile naona konyagi zilifika mahali pake!! yule abiria alifika salama
Dismas Maoni na Dismas saa Novemba 12, 2009 7:20am
Araway umefanya vizuri kujitambulisha mapema kuwa hilo ndo ua lako. Mzee nahic ulisomea kuchuma maua mazuri, kitu kimetulia balaa. Halafu ana kale kakitu ninachokapenda cha kubonyea mashavuni. Kudadadeki hivi nitakula kwa macho hadi, ngoja nichukue baiskeli yangu nianze kuzurura hadi na mm nimpate hahahahaaaa
araway Maoni na araway saa Novemba 11, 2009 6:36pm
CHA we sijui ulipotelea wapi? muulize byanaku atakujibu vizuri
Sarah Maoni na Sarah saa Novemba 11, 2009 5:03pm
wow nice one jamni!

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter