FotoBaraza.Net

WAZO TU
KWA KUWA
Sisi tuliowanachama wa yatima fotobaraza tunaunganishwa na vitu vikuu vine
1.Mapenzi yetu ya lugha adhimu ya Kiswahili
2.Mapenzi yetu ya sanaa ya picha
3.Moyo wetu wa kusaidia yatima walioko katika jamii yetu
4.Mapenzi yetu ya kupenda kusocialize(mkwaya nisaidie tafsiri yake ya Kiswahili)
BASI:
Tuelekeze lensi za kamera zetu kuchukua matukio , mazingira wanamoishi watoto yatima na wale waishio katika mazingira hatarishi. Halafu siku moja kuwe na maonesho ya picha kwa jamii katika moja ya hoteli hapa Dar- lengo kuhamasisha jamii kuhusu janga hili, na pia kupata fedha kwa ajili ya kuendeleza huduma zetu hizi.

ISIYO MUHIMU
Naadika wazo hili kutokea hapa millennium tower. Nilipopita karibu na sehemu yetu tunaposocialize ndipo wazo likanijia . nikaingia hapa na kuanza kuandika kabla sijapata msongo mbadala wa maisha.
PAMOJA
NI MIMI MWANA YATIMA WETU FOTOBARAZA
JPM

NK. NAKARIBISHA MAONI ,MAWAZO , MABORESHO

Shirikisha Twitter

Jibu Hoja Hii

Michango ya Mjadala Huu

Hili ni wazo zuri sana sana. Asante sana Mwakyusa

Jibu Hoja Hii

naunga mkono hoja yako mkuu John,na faida ya maonyesho na kwa yatima wote tuko pamoja hapo

Jibu Hoja Hii

Kaka kabla ya yoote,habari ya mwaka mpya ?
Nimelipenda sana wazo lako kwani ndio njia sahii kabisa kuifikishia ujumbe jamii yetu inayowazunguka hawa yatima,na pia kwa jamii ambayo iko nje ya mipaka yetu.
Unajua kili kitu ni matangazo(publication kwa kimatumbi haaa)hasa ukizingatia siku hizi media nyingi tu hapa kwetu nyumbani.
Ni ukweli ulio wazi kama kikundi cha Yatima Wetu Fotobaraza.tunawajibu huo wakuzikusanya picha mbali mbali za matukio tofauti na kuzifanyia maonyesho.

Jibu Hoja Hii

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter