FotoBaraza.Net

Maelezo

wanywaji

ndugu zangu wale wote ambao tunatumia vinywaji vya kuchangamsha akili na mwili huu ndio mtaa wetu wa kupeana habari na ushauri, atuangalii unakunywa kinywaji gani,alimradi kimeruhusiwa. NB. KUNYWA KWA AFYA. chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kujiunga.

Wadau: 32
Latest Activity: Dec. 30, 2009

Uwanja wa Mijadala

Chaoga Tonge

bajeti leo!! 2 Replies

Umeanzishwa na Chaoga Tonge. Mchango wa mwisho na Leila Jun. 11, 2009.

Chaoga Tonge

kipi kinachofanya mtu kuitwa mlevi? 10 Replies

Umeanzishwa na Chaoga Tonge. Mchango wa mwisho na sunday Mar. 19, 2009.

Mabagala

Bia chafu 4 Replies

Umeanzishwa na Mabagala. Mchango wa mwisho na Mabagala Feb. 3, 2009.

Ukuta wa Maoni

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa wanywaji ili Kuweka Maoni

Mabagala Maoni na Mabagala saa Desemba 30, 2009 2:51pm
Hata mimi nimekutana na watu wengi sana mwaka huu. Ikiwemo kujiungan a kundi la wanywaji. Mimi wengi niliokutana nao ni wadau wa hasara kama ujuavyo Chaoga! Mwaka 2010 nitabadilika na kuwaepuka watu wa namna ile. Leila na Chaoga mnaonaje tukiufunga mwaka pale kwenye club yetu? Chaoga kesho naweza tia timu kama mambo yanaenda vizuri!
Chaoga Tonge Maoni na Chaoga Tonge saa Desemba 30, 2009 12:50pm
unadumisha utamaduni au sio? mwaka huu ulikuwa mzuri sana kwa upande wangu maji ya ilala yamenikutanisha na wadau wengi wapya na ambao kwa namna moja au nyengine ni wadau wa faida sio hasara...!!
Mabagala Maoni na Mabagala saa Desemba 30, 2009 9:40am
Wadau wanywaji mnalala sana. Amkeni
Mabagala Maoni na Mabagala saa Desemba 30, 2009 9:39am
Wanywaji wenzangu tupo kweli? Hata hatujatakiana heri ya krismasi na mwaka mpya? ni mtikisiko wa uchumi ama ni nini? Nawatakia mwaka mpya wenye kila la kheri na fanaka tele. Safari itaendelea kuwa bia yangu bora for the rest of my life.
Leila Maoni na Leila saa Ocktoba 22, 2009 11:27am
Sawa kaka
Mabagala Maoni na Mabagala saa Ocktoba 22, 2009 11:25am
Sio lazima ubakishe chupa nzima, bakisha hata robo tu maana nataka niionje sio kunywa
Leila Maoni na Leila saa Ocktoba 22, 2009 10:03am
Pascal, huo ulionipa mtihani. Ntajitahidi kubakisha japo chupa moja. Mie hata bili huwa nakuwa mkorofi sana siku hizi baada ya kuona wanakuwa wananipigia mahesabu sio, wanajumlisha hadi tarehe na mwaka kwenye bili. Nikigundua kanizidishia bili huwa nakomaa naye na tip hapati. Siku hizi kidogo nikienda sehemu nilizozizoea wamekuwa na adabu kwenye bili. Jamaa sio wa kuwaamini kabisa hawa!

Namlaani huyo aliyechukua simu yako kwa kweli! Na yeye hizo hela atakazopata zipotee!
Mabagala Maoni na Mabagala saa Ocktoba 22, 2009 9:38am
Sa ivi kwanza ni mwendo wa kukaa kaunta, cash kwa bia. Na ole wao anisogelee. Leila izo waragi usizimalize, walau nije nizionje hiyo tarehe 7 november. Mimi hawa wahudumu wakiondoka na chenji nilikuwa hata siwadai. kuna mmoja nilimpa 5,000 kwa bia moja akajiyeyusha yeyusha sikumdai tena. Huyo baa medi aliyechukua simu zangu naomba wanywaji wote tumlaani na hiyo pesa atakayopata kupitia simu zangu basi ziwe chungu kwake.
Leila Maoni na Leila saa Ocktoba 22, 2009 8:54am
Chaoga hizi nimeletewa zawadi toka Uganda. Imefanana kidogo kama konyagi ila ni kali si mchezo! Hiyo yenye lebo nyekundu ina 45% alcohol!

Mabaamedi wala si wa kuwachukulia poa, wanakugeuka fasta! Pole Pascal, tutatute simu nyingine tu sasa.
Chaoga Tonge Maoni na Chaoga Tonge saa Ocktoba 22, 2009 7:53am
pascal mabaa med sio wa kuaminika kabisaaa, si wa kiume wala wa kike mwenzio majuzi wamekimbia na chenji yangu nikaanzisha tafrani ikarudi ilikuwa kule ukumbi wa jeshi msasani beach nikiburudika na wana akudo, nilikong'ota kama konyagi ndogo nne hivi wakadhani netweki imepotea
 

Wadau (32)

Mabagala Chaoga Tonge Leila Herieth araway Chris masimbusi Ken mujydebubyz sunday Matu Majoy kibunango EDO NDAKI Prezzo bobby Mbegas sky waryoba ABEL ISKAL NDUNDULU Dixon ed SHINNO Kelvin Blak MCHUNGAJI Evans NYAU KIRINGO Sarah pongwe sa
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter