FotoBaraza.Net

Maelezo

Wadau wa Konyagi

Eneo: Dar es Salaam.Tanzania
Wadau: 18
Latest Activity: Dec. 30, 2009

KONYAGIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII INAWASHIKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Uwanja wa Mijadala

boniface msami

konyagi, 2 Replies

Umeanzishwa na boniface msami. Mchango wa mwisho na boniface msami Dec. 30, 2009.

Wapambe wa Konyagi

Loading feed

Ukuta wa Maoni

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa Wadau wa Konyagi ili Kuweka Maoni

Mabagala Maoni na Mabagala saa Mei 2, 2009 2:39pm
Kuna mdau mmoja nilimuona kwenye tv akipiga chupa la konyagi non stop kama vile anakunywa maji yha baridi! Inawezekana kweli wadau?
Sarah Maoni na Sarah saa Aprili 10, 2009 5:16pm
Acha tu ila kuna siku nilikunywa ile hakuna matata duhh siitaki hata sikia tena nashukuru Mungu walikuwa wananijua ile baa lol,,,,,
Konyaji nzuri sana inakata mafuta tuuu
Mabagala Maoni na Mabagala saa Machi 26, 2009 7:11am
Mh Vadonde naona konyahi inakumaliza nguvu!!!
Sarah Maoni na Sarah saa Machi 26, 2009 2:40am
Uh ahh Konyagii
Jorge Rutenge Maoni na Jorge Rutenge saa Desemba 4, 2008 4:47pm
Konyagi iko juu, nakula mabapa kila siku na bado ninaamka fresh tu na kuendeleza moto wa jana yake. Yaani nikipata Konyagi tu huwa ninafanya hata kazi fasta na kufikiria fasta, halafu mimi nakula bapa dry... washkaji walikuwa wanasema nina kaunta mfukoni kwa jinsi nilivyokuwa natoa viroba mfululizo.
Gillthesaint Maoni na Gillthesaint saa Juni 9, 2008 3:03pm
duh washika dau nani kashwahi kunywa konyagi iliochanganyawa na redbull..? dah kama bado umepitwa
Leila Maoni na Leila saa Juni 7, 2008 5:45pm
Ila hiyo picha ya 3 kutoka juu naona itaharibu sifa ya konyagi.. Am sure the importers can do better than that.
EDO NDAKI Maoni na EDO NDAKI saa Juni 7, 2008 1:36pm
baab kubwa ..kuona samaki(konyagi) ikipasua anga...

ila kwenye hiyo picha ya mabinti kuwa utupu kama sehemu ya manjonjo ya kunyagi kwa mtazamo wangu haijakaa vema.
Ni bora waandaaji wakajitahidi promotion ya konyagi iambatane na kubeba utamaduni wetu.

tutafika tu
kibunango Maoni na kibunango saa Juni 7, 2008 10:42am
Safi sana kuona jinsi Konyagi inavyopasua anga za Majuu..
Haki Ngowi Maoni na Haki Ngowi saa Juni 6, 2008 11:51pm
Wadau kama kawaida konyagi itashika moto muda si mrefu,Uk, kwani USA kwa sasa karibu kila kona unaweza daka bapa lako la konyagi bila wasi,Baada ya Uk ni Canada,kama muonavyo hapo juu ni store ya konyagi zikiwa tatayri kabisa kusukumwa ughaibuni..,na kama wewe ni mpenzi wa kinywaji hichi basi jiunge nasi kwenye kundi hili ili tukupe 5.
 

Wadau (18)

boniface msami Chaoga Tonge Haki Ngowi Hassan Nganzo kibunango Simon Kitururu EDO NDAKI Leila Atu Gillthesaint sky Mtarajiwa MCHUNGAJI Chris Jorge Rutenge Mabagala Sarah Kisura
 
 

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter