chakula cha kikikuyu hapa Kenya,mahindi masafi yachemshwe kwa nusu saa,alafu maharagwe masafi yangezwe kwenye sufuria ili yo mekoni.mahindi na maharagwe yaendelee kuchemka kwa mda wa masaa mawili,kisha yaanguliwe.yachonge majungu yako kwa kuyaambua na kuyakata katika vipande vidogo,kisha uyakaange kwa dakika kumi kisha uongeze chumvi na mahindi na maharaggwe.ubunifu wako utakusaidia kuwa na mlo mtamu zaidi wa kgitheri,kama vile kuongeza maboga, avocado na kadhalika.
Tags:
Shirikisha
-
▶ Jibu Hoja Hii