FotoBaraza.Net

Maelezo

MANCHESTER UNITED

Huu ni uwanja wa Washabiki wa Machester United wanaoishi kijiji cha Fotobaraza.

Wadau: 52
Latest Activity: Nov 4

Uwanja wa Mijadala

Abraham Gella

MAN UTD VS MAN CITY 2 Replies

Umeanzishwa na Abraham Gella. Mchango wa mwisho na Mathew Thomas Kawogo Sep 18.

Mathew Thomas Kawogo

Nani abaki nani atoke Man U?

Umeanzishwa na Mathew Thomas Kawogo Jun 15.

Geen

KAMA VP LIGI YA UINGEREZA IITWE MANCHESTER UNITED PREMIER LEAGUE 1 Reply

Umeanzishwa na Geen. Mchango wa mwisho na Byanaku - Chui Mfalme Mei 21.

HABARI ZA MAN-U

Loading feed

Comment Wall (88 comments)

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa MANCHESTER UNITED ili Kuweka Maoni

88 Comments

Mathew Thomas Kawogo Maoni na Mathew Thomas Kawogo saa Novemba 4, 2009 2:02pm
Du! jana tumetumia uzoefu. Lakini tupoooooooo. Mwendo mdundo kwenye mtoano
Lucie wa mama Maoni na Lucie wa mama saa Novemba 4, 2009 12:30pm
Vp hapa mpoooooooooooo?
Mathew Thomas Kawogo Maoni na Mathew Thomas Kawogo saa Septemba 1, 2009 9:36am
Aaaaah!!! Dr. Stiba pole sana kaka. Unajua mpira sio chenga tu. mpira ni mbinu. Oh mbinu zilizotumika sio za kisoka, yeye Wenger alidhani ujanja ni kuogelea? ujanja ni kuvuka mto, kuogelea ni mbinu mojawapo ya kuvuka mto. Kakutana na kisiki. Halafu alinichekesha sana. Jinsi Old Trafford ilivyojengwa na kumchanganya hata pa kutokea akawa hapaoni, akaanza kuruka viti kama yupo uwanja wa Taifa bongo. Ushamba bwana.

Anyway, ndio mpira, msijiandae kupiga chenga tu. Kumbukeni na "tackling" kama za Fletcher zinasaidia kuwatisha kidogo maadui.

Regards
Mathew Thomas Kawogo Maoni na Mathew Thomas Kawogo saa Agosti 31, 2009 4:28pm
Bado mchezo ni kati ya wanaume 11 na wavulana 11. Woga umewazidi ndio maana wakajifunga; na hilo wameonewa? Basi matokeo ni 1 - 1. Wamefulia
mujydebubyz Maoni na mujydebubyz saa Agosti 31, 2009 3:03pm
wamelewa Arsenal walidhani kushinda mechi zao mbili tatu ndio hadi mwisho, wamekutana na kisiki wanadai wameonewa, wao walikuwa hawaonei?
Celtic wamewapiga laana watafungwa kila meschi kudadadeki
Alfan Maoni na Alfan saa Agosti 31, 2009 12:04pm
Maneno ya Wenger baada ya kupewa kadi nyekundu!!!!

"I just kicked a bottle of water. I did it because I was disappointed, not because I thought it wasn't offside," said Wenger, who was sent off deep in injury time.

"The fourth official called the referee over and he sent me off. I don't know what to say. I didn't even know where to go.

"I didn't know you were not allowed to kick a water bottle, although it was a good kick."
Mathew Thomas Kawogo Maoni na Mathew Thomas Kawogo saa Juni 23, 2009 4:44pm
Hassanools 'the BIG' Eric Cantona yupo France ni muigizaji filamu sasa hivi na majuzi tu hapa alikuwa "Old Traford" kutangaza mipango ya filamu yake mpya. Cantona ni mmoja wa wadau wakubwa na mabalozi wa Manchester United. Huwa ansaidia sana wakati tunapotaka kusajili hasa wachezaji wenye asili ya Ufaransa.
Hassanools Maoni na Hassanools saa Juni 11, 2009 4:44pm
manchester United football club....jamani namkumbuka sana Eric Cantona....hivi yuko wapi huyu mzee??
Amu Maoni na Amu saa Mei 26, 2009 7:51am
Tushangilieni mapemaaa..... UEFA Champions League ni yetu mwaka huu!!
Elimanp Maoni na Elimanp saa Mei 22, 2009 12:22am
We are the kings of England once again, Neverless we will rule the europe on Wednesday again, VIVA man Utd!!!
 

Wadau (52)

mujydebubyz Ndekia Young Mathew Thomas Kawogo EDO NDAKI Mama Malaika Federal Agent Byanaku - Chui Mfalme Geen Askofu Franklin Hussein Suleiman bobby Ekonjo Abraham Gella Babukadja Haki Ngowi Emmanuel Mwandosya john mwakyusa manka mushi Eraxman Ally mariana Prezzo lukundo FELIX Hassan Nganzo Elly steve KIWINGA jr Otty SANDIA John
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this social network on Ning.

Create your own social network!

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create Your Own Social Network

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter