FotoBaraza.Net

Maelezo

BURDANI MBALIMBALI

Nimegundua katika fotobaraza hakuna mahali unapoweza kupata vitu vinavyoweza kupunguza stress kama vichekesho na burdani mbalimbali kutokana na hilo nimeona tupate kundi ambalo watu wataweza kutuma vitu kama hivyo.. karibuni sana.

Wadau: 20
Latest Activity: Nov 19

Uwanja wa Mijadala

araway

usijaribu hii nyumbai kwako 1 Reply

Umeanzishwa na araway. Mchango wa mwisho na Furaha Sep 17.

araway

mama malaika unasemaje hapo! 3 Replies

Umeanzishwa na araway. Mchango wa mwisho na Ritha T Sep 4.

Ukuta wa Maoni

Weka Maoni

Lazima Uwe Mdau wa BURDANI MBALIMBALI ili Kuweka Maoni

Dada Maoni na Dada saa Novemba 19, 2009 12:24pm
Hizi ni njia tisa za kukufanya uendelee kufanikiwa kuwa maskini:
1. Usipende kuamka mapema,
2. Ukipata hela wewe tumia tu, kwani kesho itajisumbukia yenyewe,
3. Usiwaze kupeleka fedha benki,
4. Usijihusishe na mambo ya biashara au elimu,
5. Usifikirie kuanzisha biashara yoyote, subiri mpaka malaika ashuke na akupe mtaji wa mamilioni ya fedha,
6. Laumu kila mtu,
7. Tumia zaidi ya mapato yako,
8. Fanya ushindani katika mavazi ya bei kubwa, na
9. Jinunulie kitu ukipendacho.
Sarah Maoni na Sarah saa Novemba 19, 2009 2:49am
Mambo
araway Maoni na araway saa Novemba 16, 2009 2:00pm
dada karibu sana mitaa hii. umenifurahisha sana na storry ya mafenesi tehetehe , imekaa safi sana hiyo!
Dada Maoni na Dada saa Novemba 15, 2009 11:43am
Jana nilialikwa katika sherehe moja kwa jirani yangu,wakati wa maakuli ulipowadia watu wakapitishiwa birika na besenikwa ajili ya kunawa, lakinikilichokuwa kinatoka katika birika ni MAFUTA YA KUPIKIA, lahaullah watu wakaanza kuhoji, maji ya kunawa tuu ni mafuta msosi wenyewe utakuwaje????????
Mara sahani za msosi zikafika kwa waalikwa zikiwa zimefunikwa, kufunua ili kuona kilichomondani mayo weeeeeeeeeee, MAFENESI!!!
Enjoy.
Dada Maoni na Dada saa Novemba 15, 2009 11:40am
Hodi katika jumuiya hii
araway Maoni na araway saa Ocktoba 15, 2009 10:44am
A man was being chased by a lion in the jungle. As he gets tired and feels he can't run anymore he stands still and pray: 'Ohhhhh God, would you please make this lion a Christian please?'


As requested, God made the lion a Christian.



As it reaches him the lion Kneels down and pray: 'Thank you Lord for providing this meal. Bless me as I eat, in Jesus' Name. Amen'



For many Christians, prayer is a challenge. Please as you pray be specific. The man should have asked for a lion to be made a vegetarian Christian and not just a Christian!!!

So when you ask God to make you a millionaire don't forget to specify the currency because you may become a millionaire in Zimbabwean dollars!!!.
Have a Nice day!
araway Maoni na araway saa Agosti 1, 2009 8:33am
karibu sana mama malaika! nilikuwa nakusubiri kwa hamu>
araway Maoni na araway saa Julai 31, 2009 6:11pm
Did you know that on August 7, 2009

At 12hr 34 minutes and 56 seconds the time and date will
be

12:34:56 07/08/09

1 2 3 4 5 6 7 8 9

This will never happen in our life again??!!!!
araway Maoni na araway saa Julai 30, 2009 5:42pm
A celebrity is a person who works hard all his life to become well known, then wears dark glasses to avoid being recognized. By Fred Allen
araway Maoni na araway saa Julai 30, 2009 1:17pm
MKUU DISMASS NIMEKUONA KARIBU SANA MWANA
 

Wadau (20)

araway Furaha Ritha T Lucie wa mama Mathew Senga Simon Kitururu Mama Malaika Byanaku - Chui Mfalme Chaoga Tonge Herieth E.B.M Sarah Ngolly Jacqueline Bonny Mabagala Dismas cherry MWINYI MPEKU [JINO 1] Dada
 
 

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

Besdei za Kuzaliwa

 

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter